Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Harmonize kabadili dini kisa Kajala

Hakuna ubaya kumkirimu mgeni na kumkaribisha vizuri kwani mafundisho ndivyo yanavyosema .

Harmo japo yupo kwenye njia mbaya(kuomba miziki) ila nilimuona anapotoka zaidi pale alipomsujudia kiumbe mwenzake Madam Ritha


Hiyo ya kumsujudia madame Ritha sijawahi kuiona mkuu
 
Karibu sana Rooobbbbbbeeerrrrrttt

Huwa nawahurumia sana wanaobadili dini ukubwani iwe mkristo au muislam maana anaenda kujifunza utamaduni mpya. Na mbaya zaidi awe kabadili kufata ndoa,mapenzi,ajira etc wanapata tabu sana

Wolper alibadili dini kumfata dalas akaishia kupigwa matukio karudi ukristo,aunt alibadili kufata mume ndoa ikayeya,diva saiv analia tu,flora mvungi kwa hbaba kilishaumana zamaani,zari kwa ivan hadi muda huu haeleweki ni mkristo au muislam.
 
Weraaaaaaah, nimwfurahi mnoo hii couple.
New Robbie in town, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Angekuwa mkristu amebadili kwenda uislam [emoji1787][emoji1787] ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiih
 
Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwa Namba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.

Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume [emoji28]
Harmonize anajua kuteka media, saivi kila habari ni harmonize, Kama ni kick basi hii ni super kick, nakumbuka enzi za diamond na wema.
 
Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.

Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.

Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.

Ama kweli dunia simama nishuke...
Kiki tu hiyo,

Mkuu mjini ulikuja lini?
 
Hiyo ya kumsujudia madame Ritha sijawahi kuiona mkuu
Nimeweka ushahidi chini,hapo nilimtoa akili kabisa japo sina uhakika kama akili anayo .

Hili ni kosa kubwa sana kwa sheria za kiislamu kwani binadamu ana haki ya kumsujidia Mwenyezi Mungu tu.
Screenshot_20220625_214449.jpg
 
Nadhani kubadili dini ndio fungu alilopangiwa hata ukifuatilia wapenzi wake wa nyuma kuanzia yule wa Italy, wa marekani na sasa huyu wa shinyanga wote ni wakristu. Hivyo yawezekana kavutiwa na tamaduni za kikristu tangu siku nyingi
 
Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.

Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.

Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.

Ama kweli dunia simama nishuke...
Chanzo cha taarifa kama ni kweli huyu bwana mdogo hakuwa muislam
 
Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwa Namba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.

Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume [emoji28]
Unaweza kuta nawe unajibembelezea huko namba -A yako taratiiibu.
Jf bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom