Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Hakuna ubaya kumkirimu mgeni na kumkaribisha vizuri kwani mafundisho ndivyo yanavyosema .
Harmo japo yupo kwenye njia mbaya(kuomba miziki) ila nilimuona anapotoka zaidi pale alipomsujudia kiumbe mwenzake Madam Ritha
Hiyo ya kumsujudia madame Ritha sijawahi kuiona mkuu