Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Hakuna ubaya kumkirimu mgeni na kumkaribisha vizuri kwani mafundisho ndivyo yanavyosema .
Harmo japo yupo kwenye njia mbaya(kuomba miziki) ila nilimuona anapotoka zaidi pale alipomsujudia kiumbe mwenzake Madam Ritha
🤣🤣🤣🤣😂😂😂Never underestimate the power of pu$$y
🤣🤣🤣Nimecheka sanaAngekuwa mkristu amebadili kwenda uislam 🤣🤣 ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
Kwahiyo kupiga hiyo ishara ukajua na jina lake sasa hivi ni Robert?Nmeona kapiga ishara ya msalabaView attachment 2272036
🤣🤣🤣Nimecheka sana
Kiarabu sijui mkuuSaramareko mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe limbwata halina mipaka. La kisukuma linatikisa Hadi kwa wajomba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiihAngekuwa mkristu amebadili kwenda uislam [emoji1787][emoji1787] ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
Harmonize anajua kuteka media, saivi kila habari ni harmonize, Kama ni kick basi hii ni super kick, nakumbuka enzi za diamond na wema.Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwaNamba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.
Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume [emoji28]
Kiki tu hiyo,Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Nimeweka ushahidi chini,hapo nilimtoa akili kabisa japo sina uhakika kama akili anayo .Hiyo ya kumsujudia madame Ritha sijawahi kuiona mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kho khoh khoh yawyaw robertooooooo jeshiiiiii
Chanzo cha taarifa kama ni kweli huyu bwana mdogo hakuwa muislamTumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Hana akili hata kama engekuwa sio muslam lakini kumsujudia mtu hapana amevuka mipaka mkuu.Nimeweka ushahidi chini,hapo nilimtoa akili kabisa japo sina uhakika kama akili anayo .
Hili ni kosa kubwa sana kwa sheria za kiislamu kwani binadamu ana haki ya kumsujidia Mwenyezi Mungu tu.View attachment 2272115
Unaweza kuta nawe unajibembelezea huko namba -A yako taratiiibu.Inasikitisha sana harmonize Namba C anajibebisha na kubembeleza mapenzi kwaNamba A. Wakati Kajala Namba A ndio angejibebisha kwa Harmonize maana soko lake lishaanza kufika saa 10 Jioni.
Harmonize hana akili, Anacho bembelea instakiwa yeye ndio abembelezewe. Nadhani hajui nafasi yake kama mwanaume [emoji28]