Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba D ya learner na namba A ya mstaafu unafikiri ipi itakuwa vizuri?Tufanye hamo ni namba D kabisa kajala ni wale walikuwa TZA3428😅😅😅😅😅
Hahahaha kwamba yule mzungu alishindwa au kibongo bongo ndio Kajala pekeake?Alisikika mtu akisema eti kajala ndo anahimili lile gogo la mmakonde
Hivi Kajala alishaolewa rasmi na Baba Paula au walizaa tuu? Ila ni ushenzi wa ajabu mno kubadili dini. Kwa nini wasingefunga ndoa mseto? Hapa ndiyo namdharau huyu Mmakonde. Mimi ni follower wake Ila kwa hili naweza unfolliw kabisa .Hata kama akibadili hawezi funga ndoa na mwanamke aliyekuwa kwenye ndoa yake teyari haipo kwenye ukristu unless her previous husband die. Atafumhishwa ndoa na mchungaji feki labda who knows.
Upo sahihi D nyingi repaintedNamba D ya learner na namba A ya mstaafu unafikiri ipi itakuwa vizuri?
Wee ule mdude ni heavy-duty mpaka mwanamke akubali kuishi naye eti adi kifo kiwatenganishe ujue kajala naye ni pakubwa mnooHahahaha kwamba yule mzungu alishindwa au kibongo bongo ndio Kajala pekeake?
Ila hata P Funk si unamuona, a certain Giant!!
Wee naeHivi Kajala alishaolewa rasmi na Baba Paula au walizaa tuu? Ila ni ushenzi wa ajabu mno kubadili dini. Kwa nini wasingefunga ndoa mseto? Hapa ndiyo namdharau huyu Mmakonde. Mimi ni follower wake Ila kwa hili naweza unfolliw kabisa .
Huyu dada alimpa nini, awafundishe na wenzie
Aliolewa na yule mumewe walifunga ndoa wakaja pata msala wa kutakatisha feza sjui na kuuza nyumba iliyokuwa imezuiwa kuuzwa na mahakama nafikiri....jamaa akafungwa kajala akaingia mtaani nafikiri ndo alianza rasmi umalayerHivi Kajala alishaolewa rasmi na Baba Paula au walizaa tuu? Ila ni ushenzi wa ajabu mno kubadili dini. Kwa nini wasingefunga ndoa mseto? Hapa ndiyo namdharau huyu Mmakonde. Mimi ni follower wake Ila kwa hili naweza unfolliw kabisa .
Nmeona kapiga ishara ya msalabaMkuu tuwekee reliable source.
Kuna DZ moja nimeona juzi iko mtaroniUpo sahihi D nyingi repainted
A nyingi unaweza ku reregister kwa D
😂😂😂😂😂 we huuwezi ule kwani?Wee ule mdude ni heavy-duty mpaka mwanamke akubali kuishi naye eti adi kifo kiwatenganishe ujue kajala naye ni pakubwa mnoo
Kwani uislam si ni imani au? Endapo ameamua kuamini upande wa pili kuna shida gani?Tumezoea mwanamke ndio huamua kubadili dini ili amfuate mwanaume.
Lakini leo Harmonize amebadili dini na kumfata Kajala katika Ukristo.
Harmonize jina lake halisi la NIDA ni Rajab ila kwasasa anaitwa Robert. Kesho akibwagwa tena atarudi kwenye uislamu wake au atabaki hukohuko? Dunia haijawahi kuishiwa na vituko.
Ama kweli dunia simama nishuke...
Hakuna ubaya kumkirimu mgeni na kumkaribisha vizuri kwani mafundisho ndivyo yanavyosema .Angekuwa mkristu amebadili kwenda uislam 🤣🤣 ungeona , Mashallah Mashallah za kutosha Allah Akbar , karbu Kwenye Dini ya haki , uislam utatawala Dunia , haha
In this case, its not about pu$$y there z smthng moreeNever underestimate the power of pu$$y