bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Noma sana, hua nafumba macho akianza lugha za watuI like it when you take it down"Slow slow". "Slow slow" ni tafsiri ya moja kwa moja ya "polepole" . Hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana, hua nafumba macho akianza lugha za watuI like it when you take it down"Slow slow". "Slow slow" ni tafsiri ya moja kwa moja ya "polepole" . Hatari sana.
Hata hivyo hakukuwa na haja ya kutumia kingereza muziki ili ufike mbali hauhitaji lugha ni utunzi mahiri na melody Kali!Hoja yangu iko katika wimbo wa "one night STAND" Kutokana na ujumbe uliokuwemo kwenye huo wimbo hakutakiwa kutamka "One night STEND" kufanya hivyo amepotosha maana ya wimbo. Inatakiwa itamkwe "One night STAND"
Lugha hai make sense kwenye muziki, yule dogo wa Angola Cabo snop alikua ana imba vitu havieweki watu wana bang tu , Makhirikhiri the same storyLugha zote duniani zina kitu kinaitwa mother tongue
Tanzania tunaongea kiswahili nchi nzima..
Ila mmakonde akitamka neno la kiswahili hafanani na mkurya akitamka neno hilo hilo..
Mpemba akitamka neno hafanani na msukuma akitamka neno hilo hilo.
Sasa msimlazimishe harmonize atamke kiingereza sawa sawa na muingereza..
Mbona wa nigeria lugha yao english ila bado wanatamka vibaya kuliko waingereza..
Muhimu ni ujumbe ufike.. mambo ya matamshi sio ishu.
Dogo mziki ni kazi yake.. na soko la mziki linalipa sana nje ya Tanzania.. mwacheni aimbe kiingereza ili apate wateja wapya wa muziki wake wasioelewa kiswahili
Mkuu kwa hapo namtetea ilibid atamke hvyo slow slow kutokana na tune ya wimbo,pata picha angesema slow tuI like it when you take it down"Slow slow". "Slow slow" ni tafsiri ya moja kwa moja ya "polepole" . Hatari sana.
Jaribu kuimba "I like it when you take it down slowly" kwa tune yake uone kama haiwi poa.Mkuu kwa hapo namtetea ilibid atamke hvyo slow slow kutokana na tune ya wimbo,pata picha angesema slow tu
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hoja yangu iko katika wimbo wa "one night STAND" Kutokana na ujumbe uliokuwemo kwenye huo wimbo hakutakiwa kutamka "One night STEND" kufanya hivyo amepotosha maana ya wimbo. Inatakiwa itamkwe "One night STAND"
Kingereza chenyew cha a go lavyu ma bebe
DaaahMimi nakwambia kuhusu huu wimbo wa Bwana Mmakonde Gang, wewe unanipa taarifa za North America!
Upekuzi kabatini.Daaah!!