Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,670
- Thread starter
-
- #21
Sio Tanzania ni dunia nzima.
Msanii akivuma kwa aina flani ya muziki na baadae huo mziki ubadilike au upitwe na wakati, msanii kama hana uwezo wa kubadilika na kuendana na soko sio rahisi kurudi
Mfano Neyo alisumbua kiuandishi na hitz kutokana na Rnb iliyokuwa ikivuma sana time yake. Game lilipobadilika akashindwa kubadilika hadi leo anastruggle tu
Bongo tabu ile ile japo siku hizi tumezidi maana siku hizi diversity hakuna.usipoimba katika flow flani, kwa maneno flani. Sahau kuhusu kurudi on top na Asipopatikana Game changer mwingine kama Diamond. Sio rahisi hii issue kuisha
Wanashindwa kubadilika na kufuata kizazi cha sasa kinataka nini. Na wengi hawabadiliki sababu ya kiburi cha kuamini wao hawawezi kuwafata watoto wadogo namna wanavyoimba kwa sasa wakati wao ndio wameuweka mziki Wa bongo flavor kwenye ramani!Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.
Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.
Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.
Kipi huwa kinasababisha wasanii wa nyumbani wakianguka na wasiinuke tena? Tungo zao ni zilezile hawawezi kubadilisha ladha ya muziki wao au.
Ferouz alijaribu kuinuka akabaki chini pale. Q Chilla hadi leo yupo chini licha ya uwezo mkubwa wa kuimba alionao. TID naye hivyohivyo japo ukubwa wa J Nature umemsaidia hata akipata collabo anafanya kitu chenye kuonekana.
Tatizo ni nini kwa wasanii wetu ni kwamba hawana namna ya kurudi wakishuka kimuziki au mashabiki huwachoka mapema na kuwashusha wao wenyewe? Sioni Rich Mavoko akitafuna mfupa uliowashinda wengi.
FactSio Tanzania ni dunia nzima.
Msanii akivuma kwa aina flani ya muziki na baadae huo mziki ubadilike au upitwe na wakati, msanii kama hana uwezo wa kubadilika na kuendana na soko sio rahisi kurudi
Mfano Neyo alisumbua kiuandishi na hitz kutokana na Rnb iliyokuwa ikivuma sana time yake. Game lilipobadilika akashindwa kubadilika hadi leo anastruggle tu
Bongo tabu ile ile japo siku hizi tumezidi maana siku hizi diversity hakuna.usipoimba katika flow flani, kwa maneno flani. Sahau kuhusu kurudi on top na Asipopatikana Game changer mwingine kama Diamond. Sio rahisi hii issue kuisha
ko keshapata management ya kupush kazi zake..?Q chiller na Feruzi ni madawa ndio hayajawarudisha ... Q chiller mwaka 2017 alirudishwa mwenye game vizuri na videos kadhaa zikafanyiwa south na manager " Fundi Masaiti" alimpa nyuma aishi Mbezi beach ila bangi zake na madawa yakamfanya kukorofishana na manager wake ... Ingia YouTube channel ya EATV utafute hiyo interview akiwa na manager wake wakikorofishana + Mambo ambayo manager wake alikuwa amemfanyia ... Hizo Bahati haziji Mara 2 tena...
Furuzi ni madawa ....
Mbona J- Moe alirudi kwa Kasi , Mbona Ali kiba alikaa zaidi ya miaka mitano na akarudi na mpaka kuchukua tuzo za kimataifa ??? ....
Issue ni wasanii wa zamani ujuaji mwingi + madawa ... Ila naamini Rich mavoko atarudi this soon alikosa management ya kupush kazi zake vizuri. Kuna projects kadhaa alifanya hapo karibuni zilikuwa nzuri sema management ya kupush muziki wake alikuwa Hana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ali Kiba aliwahi kupotea kisha akarudi kwa kasi na kisha kaishia kuimba ujinga ujinga tu sahzi!Hakuna msanii bongo aliyewahi kupotea na akarudi kwenye game.. labda mavoco ndio awe wa kwanza...
Ukipotea inabidi ufanye ustaalabu mwingine utoke kivingine kama ni bussiness n.k.
Sasa hivi kwenye game kuna damu changa. Sasa kutushawishi tuendelee kukusikiliza ni kazi sana..
Walijaribu wakina Abby skills , Q chief , GK ,beka , hussein machozi n.k lakini game bado halieleweki..
Labda yeye ataweza.
ko keshapata management ya kupush kazi zake..?Q chiller na Feruzi ni madawa ndio hayajawarudisha ... Q chiller mwaka 2017 alirudishwa mwenye game vizuri na videos kadhaa zikafanyiwa south na manager " Fundi Masaiti" alimpa nyuma aishi Mbezi beach ila bangi zake na madawa yakamfanya kukorofishana na manager wake ... Ingia YouTube channel ya EATV utafute hiyo interview akiwa na manager wake wakikorofishana + Mambo ambayo manager wake alikuwa amemfanyia ... Hizo Bahati haziji Mara 2 tena...
Furuzi ni madawa ....
Mbona J- Moe alirudi kwa Kasi , Mbona Ali kiba alikaa zaidi ya miaka mitano na akarudi na mpaka kuchukua tuzo za kimataifa ??? ....
Issue ni wasanii wa zamani ujuaji mwingi + madawa ... Ila naamini Rich mavoko atarudi this soon alikosa management ya kupush kazi zake vizuri. Kuna projects kadhaa alifanya hapo karibuni zilikuwa nzuri sema management ya kupush muziki wake alikuwa Hana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wana kazi ya ziada kuhakikisha wanarejea walipokuwa.Wanashindwa kubadilika na kufuata kizazi cha sasa kinataka nini. Na wengi hawabadiliki sababu ya kiburi cha kuamini wao hawawezi kuwafata watoto wadogo namna wanavyoimba kwa sasa wakati wao ndio wameuweka mziki Wa bongo flavor kwenye ramani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna msanii bongo aliyewahi kupotea na akarudi kwenye game.. labda mavoco ndio awe wa kwanza...
Ukipotea inabidi ufanye ustaalabu mwingine utoke kivingine kama ni bussiness n.k.
Sasa hivi kwenye game kuna damu changa. Sasa kutushawishi tuendelee kukusikiliza ni kazi sana..
Walijaribu wakina Abby skills , Q chief , GK ,beka , hussein machozi n.k lakini game bado halieleweki..
Labda yeye ataweza.
FA ,Dully,Blue hawajawahi kupotea kwenye game..Ukisema hakuna Dully Sykes unamuweka wapi mkuu au FA Pia !!!....
Kuna watu wapo flexible na hawachuji..
Kwanza damu changa za maana zinahesabika, wengi wanaimba kwa kucopy kiasi ukiweka playlist unaweza usitofautishe sauti, melodies na mashairi yao.
Hapa ndo WCB wanaendelea kuwin na kutawala music industry zaidi maana kila mtu anacheza tune yao