Harmonize kamrudisha Rich Mavoko kwenye game upya

Tatizo la Harmonize ni moja tu kudandia dandia mambo(jumping jumping no Position),hana consistence ndio mana kila anapotia mkono panafeli,kwa nini asifocus kwenye jambo moja alimalize then ahamishie nguvu kwa jambo jingine...Ibra mwenyewe kashindwa kumpromote.
 
Kwani kupotea unavyoelewa ina maana gani.. kuishiwa au kukaa muda mrefu bila kutoa wimbo wowote
Kuishiwa yaani hata ukitoa ngoma haifiki popote.. mfano mavoko sasa hivi sio kwamba hatoi ngoma. Juzi kati hapo alitoa ngoma lakini haikufika popote.

Cheki mtu kama baraka da prince alitoa ngoma week 2 ilikua na view kama 2k .. huyo ndio kapotea..

Lakini kuna wasanii wao sio watu wa kutoa ngoma juu ya ngoma kama FA , AY n.k lakini sio kwamba wamepotea na siku wakitoa zinafanya vizuri tu

 
Kila nikisikia kokoro,Namvulia kofia Richadi.
Kipaji halisi!
Hivi harmonize kweli yuko humble kama anavyojionesha au ni public sympathy anatafuta.
Public sympathy Kama kawaida yake.
 
Ningemshauri huyu Konde kupunguza papara...
Hakuna kitu chochote kafanya na huyo Ibrah. Kwenda kwa Mavoko ni kutafuta cheap popularity na public sympathy.. Hakuna mahali atafika.

Hawezi kumprove Bin Laden wrong... He has to fight to prove himself right.
 
Hivi ni kwanini kila Harmonize akiandika anapenda kuonyesha kulalamika ndani ya maandishi yake? Kwanini anajionyesha kama mtu wa malalamiko sana?
Anatafuta huruma ya jamii.. Akili kama za Kiba.
Hakuna mahali atafika.
 
Hivi ni kwanini kila Harmonize akiandika anapenda kuonyesha kulalamika ndani ya maandishi yake? Kwanini anajionyesha kama mtu wa malalamiko sana?
Kama anavyofanya alikiba tatizo la public sympathy haidumu na watu wakijua Hilo wanakupotezea.
 
Mwaka jana alisema anamrudisha Q chillah vipi wameishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi qchief ndo qchilla?
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Nikiangalia hiyo post naona kabisa Harmonize anatafuta attention ya watu na si msaada halisi kwanza ameandika kanakwamba huyo jamaa anaoneswa na anafanyiwa figisu....na hata ukiuliza ni akina nani wanaofanya figisu lazima watahusishwa WCB ila la kujiuliza mbona Richard Mavocko alipotoka alikua ana sapoti kubwa ya redio zote kubwa iweje sasa kikundi cha watu wachache ndo kionekane kinambania...

Nitakua wa mwisho kuamini huu msaaada kama una lengo sahihi zaidi ya kutafuta attention ya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingine ni kutojua nani wateja wa miziki yao, umri unavyokuwa vile vile na mashabiki zako, lkn pia muziki wako unatakiwa uendane na umri wa shabiki zako. Ndio maana akina msondo na sikinde wamepoa sio sababu hawajui muziki ila wale mashabiki zao sasa hivi ni watu wazima hivyo ilibidi wajitune kutokana na hilo. Hata Diamond nk nk umri ukienda itafika mahali madogo hawatawakubali na wakubwa pia hawatawakubali, sabaabu watatokea madogo wengine wakali kuliko wao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii bonge moja la point aisee. Natamani mavoko a.k.a mesi wa bongofleva asome huu ujumbe wako. All in all tunamuombea arudi tena kwenye game.
 

Labda mimi ndo sielewi lakini kupotea ni impact tu. Mwingine anaweza kupotea baada ya kishindwa game kama ulivyosema na mwingine anaweza kupotea kama likizo tu huku anafanya issue zake nyingine..

Kupotea mimi navyoelewa ni kutokusikika kwa muda mredu hadi kuanza kusahaulika na mashabiki.

Mfano shaa amepotea lakini sio kwa sababu alishindwa muziki ila ameamua kufanya issue zingine zinazompa hela zaidi
 
Ukishafika peak basi kamwe huwez tena kuivuka ile level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraka nae kaisha aisee, 3weeks ana 4k views. Kweli mziki ukikutupa ni ngumu kurejea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…