happy birthday tamu kuliko kamwambie,atarudi na ukimuona zote mulemule
una haki pia ya kutoa maoniMkuu ni haki yako kutoa maoni.
Ila kwenye kulinganisha nyimbo kama ukimuona na atarudi ni ujuha, nyimbo ambayo Haina hata Promo na imetolewa zaidi ya miaka 6 iliyopita tena ikiwa hata haijaisha (ilivuja ) huwezi linganisha na hiyo nyimbo ya Kondeboy
Nusu tu mkuu?Wabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...
Kweli bongo nyoso
Kenya na South Sudan hawaijuw iyo wcbWabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...
Kweli bongo nyoso
milion 300 ndogo?Harmonize hafikii hata robo ya Mr. Nice wa wakati ule. Kipesa na kiumaarufu.
Hizo milioni 300 ni hela ndogo sana kwa mtu mwenye lifestyle yake.
Wasanii wakubwa kama kina 50 Cent, Jay Z, Eminem walikuwa chini ya lebo na ukubwa wao wa wakati huo hadi wakaenda kuanzisha lebo zao. Huyo Harmo ana nini?
Wizkid, Davido ni wakubwa mara 100 ya Harmo, wapo chini ya lebo.
Milioni 300 kitu gani bhana??
Watakua wa kwanza kumnanga hapa akifeli.Unafki ni kipaji na sisi wabongo tumejaaliwaWabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...
Kweli bongo nyoso
milion 300 ndogo?
Tatizo si kuandika tatizo ni vibe na soko I mean unauzika unapata show?? Kuna kujua na connection...benpol belle9 mavoko wanajua ila hawana connection.Domo weekly show 2 au 3 ndani na nje...anapanda ndege kama daladala...ngoja tusubirie tuone konde gangiitafika wapi...ukichunguza nyimbo zao toka mwaka jana hadi leo,utagundua harmonise anaandika vizuri kuliko domo na lavalava..domo anaungaunga tu maneno
Domo alinunulia gari 2 ya tanasha na mama dangote...300.sasa 300m ndogo sanamilion 300 ndogo?
ndio anavyowadanganya hivyo? hahaha gari aina gani hizo? diamond mwenyewe hana gari yakuzidi milioni 50.Domo alinunulia gari 2 ya tanasha na mama dangote...300.sasa 300m ndogo sana
haha aisee huyo konde hata milioni 10 cash money kwenye account nina uhakika hana. mitandao ina wadanganya sanaKwa life style ya konde inaisha mwezi
ndio anavyowadanganya hivyo? hahaha gari aina gani hizo? diamond mwenyewe hana gari yakuzidi milioni 50.
hizo habari feki, diamond mwenyewe hana gari ya milioni 50, hayo magar ya kuazima show room baada ya sherehe wanayarudisha, hiyo michezo tunaijua sana, hiyo gari diamond hana hela ya kununuaEndelea kukanyaga ganda la ndiziView attachment 1182729View attachment 1182730View attachment 1182729View attachment 1182730
Sishangai kwanini unajiita dependentMuda ni mwalimu sisi tupo tutaona mengi hakuna mtu anazuiliwa kutoka ila je ataweza kusimama pekee ukiangalia 90% ya mashabiki wa harmo ni wa wcb akiondoka wcb hii asilimia ya mashabiki anapoteza wcb ndio walikuwa wanampa connection na wakubwa je Leo je atakuwa na ushawishi ule ule Bila kuwa wcb? ukiangalia wcb wametengeneza mashabiki wao ndani na nje ya nchi je anaweza kupambana na fitna za mziki? Kumbuka pia harmo aliwatukana clouds media wakati akifanya show ile iliyofanyika taifa je unawezaje kupona katika mziki ukiwaumeariibu kwa wakubwa wawili wa mziki yaani wcb na clouds media kwa pamoja?
Naendelea kulichunguza hili aiseeee Laki Si Pesahizo habari feki, diamond mwenyewe hana gari ya milioni 50, hayo magar ya kuazima show room baada ya sherehe wanayarudisha, hiyo michezo tunaijua sana, hiyo gari diamond hana hela ya kununua
Nimegundua wewe jamaaa humkubali mond yawezekana una chuki binafsi kwan bei gani gari BMWX6 kwa wasanii bongo nasikia wanayo wawili diamond platnumz na masanja..masudi kipanya anasukuma hammer ndo king wa kumiliki gari bei mbaya kwa celebritieshizo habari feki, diamond mwenyewe hana gari ya milioni 50, hayo magar ya kuazima show room baada ya sherehe wanayarudisha, hiyo michezo tunaijua sana, hiyo gari diamond hana hela ya kununua
BMWX6 gari ya kawaida haina bei mbaya hata milion 30 unapata, anayo na prado ya kizamani, mwana bongo fleva mwenye gar ya maana ni lady jadee anayo VOGUE SPORT, hata kipanya hamer yake ya bei mbaya, diamond show off tu hana kituNimegundua wewe jamaaa humkubali mond yawezekana una chuki binafsi kwan bei gani gari BMWX6 kwa wasanii bongo nasikia wanayo wawili diamond platnumz na masanja..masudi kipanya anasukuma hammer ndo king wa kumiliki gari bei mbaya kwa celebrities View attachment 1182767