Harmonize kashatoka kimaisha hawezi kurudi nyuma

Harmonize kashatoka kimaisha hawezi kurudi nyuma

happy birthday tamu kuliko kamwambie,atarudi na ukimuona zote mulemule

Mkuu ni haki yako kutoa maoni.

Ila kwenye kulinganisha nyimbo kama ukimuona na atarudi ni ujuha, nyimbo ambayo Haina hata Promo na imetolewa zaidi ya miaka 6 iliyopita tena ikiwa hata haijaisha (ilivuja ) huwezi linganisha na hiyo nyimbo ya Kondeboy
 
Mkuu ni haki yako kutoa maoni.

Ila kwenye kulinganisha nyimbo kama ukimuona na atarudi ni ujuha, nyimbo ambayo Haina hata Promo na imetolewa zaidi ya miaka 6 iliyopita tena ikiwa hata haijaisha (ilivuja ) huwezi linganisha na hiyo nyimbo ya Kondeboy
una haki pia ya kutoa maoni
 
Wabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...

Kweli bongo nyoso
Nusu tu mkuu?
Hata mimi sitakua shabiki yake tena maana ameanza ushenzi wa kusifia hovyo
 
Wabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...

Kweli bongo nyoso
Kenya na South Sudan hawaijuw iyo wcb
 
Samaki hawezi ku survive nje ya maji..WCB ni kama maji na harmonize ni samaki..nje ya wasafi hatutachelewa kuambizana kutoa michango amelemazwa Muhimbili hana hela ya kuongezwa maji baada ya homa kupanda ghafla.
 
Harmonize hafikii hata robo ya Mr. Nice wa wakati ule. Kipesa na kiumaarufu.
Hizo milioni 300 ni hela ndogo sana kwa mtu mwenye lifestyle yake.
Wasanii wakubwa kama kina 50 Cent, Jay Z, Eminem walikuwa chini ya lebo na ukubwa wao wa wakati huo hadi wakaenda kuanzisha lebo zao. Huyo Harmo ana nini?
Wizkid, Davido ni wakubwa mara 100 ya Harmo, wapo chini ya lebo.
Milioni 300 kitu gani bhana??
milion 300 ndogo?
 
Wat
Wabongo ni wanafiki sana.
Yaani mnampa kichwa jamaa ili ajitoa wcb wakati mnajua kabisa akitoka anapoteza zaidi ya nusu ya mashabiki...

Kweli bongo nyoso
Watakua wa kwanza kumnanga hapa akifeli.Unafki ni kipaji na sisi wabongo tumejaaliwa
 
ukichunguza nyimbo zao toka mwaka jana hadi leo,utagundua harmonise anaandika vizuri kuliko domo na lavalava..domo anaungaunga tu maneno
Tatizo si kuandika tatizo ni vibe na soko I mean unauzika unapata show?? Kuna kujua na connection...benpol belle9 mavoko wanajua ila hawana connection.Domo weekly show 2 au 3 ndani na nje...anapanda ndege kama daladala...ngoja tusubirie tuone konde gangiitafika wapi...
 
Endelea kukanyaga ganda la ndizi
20190816_122158.jpg
20190816_122242.jpg
20190816_122158.jpg
20190816_122242.jpg

ndio anavyowadanganya hivyo? hahaha gari aina gani hizo? diamond mwenyewe hana gari yakuzidi milioni 50.
 
Muda ni mwalimu sisi tupo tutaona mengi hakuna mtu anazuiliwa kutoka ila je ataweza kusimama pekee ukiangalia 90% ya mashabiki wa harmo ni wa wcb akiondoka wcb hii asilimia ya mashabiki anapoteza wcb ndio walikuwa wanampa connection na wakubwa je Leo je atakuwa na ushawishi ule ule Bila kuwa wcb? ukiangalia wcb wametengeneza mashabiki wao ndani na nje ya nchi je anaweza kupambana na fitna za mziki? Kumbuka pia harmo aliwatukana clouds media wakati akifanya show ile iliyofanyika taifa je unawezaje kupona katika mziki ukiwaumeariibu kwa wakubwa wawili wa mziki yaani wcb na clouds media kwa pamoja?
Sishangai kwanini unajiita dependent
 
hizo habari feki, diamond mwenyewe hana gari ya milioni 50, hayo magar ya kuazima show room baada ya sherehe wanayarudisha, hiyo michezo tunaijua sana, hiyo gari diamond hana hela ya kununua
Naendelea kulichunguza hili aiseeee Laki Si Pesa
 
hizo habari feki, diamond mwenyewe hana gari ya milioni 50, hayo magar ya kuazima show room baada ya sherehe wanayarudisha, hiyo michezo tunaijua sana, hiyo gari diamond hana hela ya kununua
Nimegundua wewe jamaaa humkubali mond yawezekana una chuki binafsi kwan bei gani gari BMWX6 kwa wasanii bongo nasikia wanayo wawili diamond platnumz na masanja..masudi kipanya anasukuma hammer ndo king wa kumiliki gari bei mbaya kwa celebrities
Screenshot_20190816-133435_Chrome.jpg
 
Nimegundua wewe jamaaa humkubali mond yawezekana una chuki binafsi kwan bei gani gari BMWX6 kwa wasanii bongo nasikia wanayo wawili diamond platnumz na masanja..masudi kipanya anasukuma hammer ndo king wa kumiliki gari bei mbaya kwa celebrities View attachment 1182767
BMWX6 gari ya kawaida haina bei mbaya hata milion 30 unapata, anayo na prado ya kizamani, mwana bongo fleva mwenye gar ya maana ni lady jadee anayo VOGUE SPORT, hata kipanya hamer yake ya bei mbaya, diamond show off tu hana kitu
 
Back
Top Bottom