Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Binafsi nampongeza kijana wangu wa Mtwara, Konde Boy kwa mafanikio aliyoyapata kupitia WCB kama kaamua kujitegemea ni jambo jema ni vema wamruhusu tu dogo akatafute sio kesi kama mkataba wake umeisha ukizingatia ni msanii aliyekuwa anaingiza mapato kuliko wasanii wote walisainiwa WCB naamini kampuni imeshanufaika vya kutosha kupitia Harmo
Huwezi kumfananisha Harmo na Rich Mavoko walivyotoka kwenye label ikumbuke Rich Mavoko alitoka kabla mkataba haujaisha bado alikuwa hajajijenga kimaisha mpaka sasa kuna uwezekano Rich Mavoko hata pesa vya kulipia video anakosa alitoka ili kuanza na yeye kusimamia wasanii akajikuta anashindwa kujisimamia yeye.
Kwa upande wa Harmo ukiangalia tayari kajijenga kimuziki na kimaisha sasa kama mtu una mili300 ndani kuna haja gani tena kuendalea kusimamiwa na kutumikishwa tumwache dogo afanye kazi zake kwa uhuru utoaji wa nyimbo WCB utagundua ni kama kutumikishwa inalazimika mara kwa mara msani awepo studio na kwenye show tofauti na wasanii wakubwa Marekani ambao wapo chini ya label mwaka mzima msanii unaweza usimsikie
Huwezi kumfananisha Harmo na Rich Mavoko walivyotoka kwenye label ikumbuke Rich Mavoko alitoka kabla mkataba haujaisha bado alikuwa hajajijenga kimaisha mpaka sasa kuna uwezekano Rich Mavoko hata pesa vya kulipia video anakosa alitoka ili kuanza na yeye kusimamia wasanii akajikuta anashindwa kujisimamia yeye.
Kwa upande wa Harmo ukiangalia tayari kajijenga kimuziki na kimaisha sasa kama mtu una mili300 ndani kuna haja gani tena kuendalea kusimamiwa na kutumikishwa tumwache dogo afanye kazi zake kwa uhuru utoaji wa nyimbo WCB utagundua ni kama kutumikishwa inalazimika mara kwa mara msani awepo studio na kwenye show tofauti na wasanii wakubwa Marekani ambao wapo chini ya label mwaka mzima msanii unaweza usimsikie