Harmonize kashuka kimuziki

Harmonize kashuka kimuziki

Moja kwa Moja kwenye mada.

Msanii Harmonize kashuka kimuziki upande wa international (nje ya mipaka ya Tanzania) na kawa msanii wa ndani (bongo) pamoja na Africa mashariki

kipindi bado yupo WCB alikua akitaftiwa collabo na wasanii wa nje ya nchi hasa Nigeria ili ali wini soko hilo la nje kimuziki. Na kutoa nyimbo na wasanii kama Sarkodie, Yemi Alade , Skales, Burnaboy.

Ikumbukwe kuwa hapo nyuma Harmoznize alikuwa na uhusiano wa karibu na msanii Burnaboy. ambapo
Show ya Burna iliofanyika Rwanda alimuitaji Harmozize apande jukwaani licha ya WCB kumkazia na kutofanikiwa.
Kwa hali alionayo sahivi harmonize kimataifa sidhani Kama burnaboy anaweza kumpa nafasi ya collabo pasipo kumlipisha fedha au kwa barua.

Tangu Harmonize alipotoka WCB amekua akitoa ngoma nyingi za ndani kitu ambacho kina mrudisha nyuma na kuliua soko lake la muziki la kimataifa

Ame Base sana na Tanzania kitu ambacho kina mnyima show za nje ya bongo.

Amekua aki perfom kwenye majukwaa ya kisiasa na kutoa Album zisizo na mipango mizuri ya Marketing na ku li WIN soko la kimataifa. Album hizo hazijamjengea soko lolote nje ya mipaka ya Tanzania. Mfano wa Album

View attachment 3137373
HArmozize kaendelea kuwa Msanii wa ndani na kufanya vizuri kwenye kurasa za instagram kwa kusifika kwa kuwapata wnwke wenye Mashepu. japo ngoma anazozitoa ni nzuri na zinazopendwa na mashabiki hivyo kumpa nafasi ya kutumbuiza kwenye matamasha makubwa ya michezo na serikali.

Kwa kusema hayo Itoshe kusema kuwa Soko la Harmonize nje ya mipaka ya Tanzania limeshuka na kumfanya kuwa msanii wa ndani. Abadilishe Uongozi wake na Management yake kwani hawana maono nae katika biashara ya muziki.
Nawasilisha . .. . Toa maoni yako.
akiachwa na mwanamke ndio hua anakua bora zaidi subiri ashushe mawe
 
Issue ya P didy imetrend Sana Hivyo ngoma zake alizoachia zote zimeshindwa kupenya kabisa.

Baada ya issues ya P didy ilifatia derby ya simba na yanga.

Means kuna strategies zinhitajika ili hawa wasanii wakae on trending.

Ikiwemo hiyo anayotumia diamond ya wanawake
Mbona diamond katoa komasava imehit pamoja na hizo issue kuwepo lakini pia kuna ngoma aliyofanya na Jux nayo nayo imehit bila hata kuhusisha wanawake
 
Moja kwa Moja kwenye mada.

Msanii Harmonize kashuka kimuziki upande wa international (nje ya mipaka ya Tanzania) na kawa msanii wa ndani (bongo) pamoja na Africa mashariki

kipindi bado yupo WCB alikua akitaftiwa collabo na wasanii wa nje ya nchi hasa Nigeria ili ali wini soko hilo la nje kimuziki. Na kutoa nyimbo na wasanii kama Sarkodie, Yemi Alade , Skales, Burnaboy.

Ikumbukwe kuwa hapo nyuma Harmoznize alikuwa na uhusiano wa karibu na msanii Burnaboy. ambapovShow ya Burna iliofanyika Rwanda alimuitaji Harmozize apande jukwaani licha ya WCB kumkazia na kutofanikiwa.

Kwa hali alionayo sahivi harmonize kimataifa sidhani Kama burnaboy anaweza kumpa nafasi ya collabo pasipo kumlipisha fedha au kwa barua.

Tangu Harmonize alipotoka WCB amekua akitoa ngoma nyingi za ndani kitu ambacho kina mrudisha nyuma na kuliua soko lake la muziki la kimataifa

Ame Base sana na Tanzania kitu ambacho kina mnyima show za nje ya bongo.

Amekua aki perfom kwenye majukwaa ya kisiasa na kutoa Album zisizo na mipango mizuri ya Marketing na ku li WIN soko la kimataifa.

Album hizo hazijamjengea soko lolote nje ya mipaka ya Tanzania. Mfano wa Album

View attachment 3137373
HArmozize kaendelea kuwa Msanii wa ndani na kufanya vizuri kwenye kurasa za instagram kwa kusifika kwa kuwapata wnwke wenye Mashepu. japo ngoma anazozitoa ni nzuri na zinazopendwa na mashabiki hivyo kumpa nafasi ya kutumbuiza kwenye matamasha makubwa ya michezo na serikali.

Kwa kusema hayo Itoshe kusema kuwa Soko la Harmonize nje ya mipaka ya Tanzania limeshuka na kumfanya kuwa msanii wa ndani.

Abadilishe Uongozi wake na Management yake kwani hawana maono nae katika biashara ya muziki.
Nawasilisha . .. . Toa maoni yako.
Soko lake huko nje lilikuwa na kubwa sana? Huwa mnafanyaje kujua kuwa kuna demand ya msanii wa kitanzania anahitajika huko, au huwa mna take risk tu kwa kuangalia anavyofanya nchi kadhaa Afrika?
 
Soko lake huko nje lilikuwa na kubwa sana? Huwa mnafanyaje kujua kuwa kuna demand ya msanii wa kitanzania anahitajika huko, au huwa mna take risk tu kwa kuangalia anavyofanya nchi kadhaa Afrika?
1 kuna ile wana Diaspora hasa wa East Africa wana tukio/ sherehe wana request msanii aje kutumbuiza
2 kuna ile nyimbo ya msanii imeenda viral na kupigwa kwenye Club za nje ya nchi. Apo ndo promota wanaandaa show kwenda na upepo huo
3 Kuna ile msanii katoa EP au Album ambayo nyimbo zake nizakupendwa ata nje ya mipaka, promota utafta walau show za Club kusaidia kusambaza kazi za msanii
Kutafta show hvhvi kibubu kuwa fulani atakuepo tarehe fulan ishu inafeli.labda kama ni legend kama alikiba na mondi soko kubwa huku ni watu wa East africa na congo. Kwa wazungu hatujafika

Sasa siku hizi kutoa nyimbo ya kupenya mipaka ndo changamoto Demand inakua haipo kabisa. Sio kama Wasanii wa Naija walivyoliteka soko wao kila mwaka lazima show za nje ya nchi zipigwe. Sisi tuna angalia hivyo vigezo tu. Colabo na wasanii wa nje hazipo, Nyimbo zikiimbwa topic ni dungamawe, kiufupi sijui ndo kulizik ndo unafahamika hiyo inatosha
 
Back
Top Bottom