Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
[emoji196][emoji196][emoji196]hivi konde mgahawa iliishia wapi?Harmonize anasajiri kama Yanga timu yangu ila kiuhalisia maendeleo hatuoni, yan label yake ipo ipo tu, labda kwasababu n gang[emoji38][emoji38]
Invitees only..INVITEES ONLY
vs
INVITED ONLY
Haya tuone kama ada za wazazi wenu zilitumika ipasavyo.
[emoji38][emoji38][emoji38]Msamehe bureeh babuuuh,
Babuuuh naomba hela.[emoji38][emoji38][emoji38]
Subiri kuna moja naisikilizia mjukuu[emoji3]Babuuuh naomba hela.
Tobaaaaaah kumbe ni mwanachama hai wa ile taasisi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri kuna moja naisikilizia mjukuu[emoji3]
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Tobaaaaaah kumbe ni mwanachama hai wa ile taasisi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siyo mnafiki. Amchukue basi yeye Anjella amsaidie.Mmmmmh wee itakua una tatizo nae jingine, ila hili ni kipitio chako tyuuh.
Ashtuke arudi alikotoka ?!Binafsi naona Harmoniza anamtumia Angella kuwin sympathy ya umma and therefore kuwin fans.
Huyu binti ashtuke.