Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
-
- #21
Msaidieni Kulipa Kodi, Leo Eng. Anaenda Kumtafuta ili ampe chakeKanuni inajulikana mwanaume kufanya umbea maana yake yupo na hormone za kike au una kibamia
[emoji3] [emoji3][emoji3]
Sawa ila Kodi anayodaiwa hajalipa na kafanya uharibifu mKubwa Sana.Atakua kapata makazi mapya Harmo
Umemkomalia dah😆😆😆😆😆😆Sawa ila Kodi anayodaiwa hajalipa na kafanya uharibifu mKubwa Sana.
Kibamia ni serious problem. Tafuta tibabu akusaidie. Utagongewa mpaka unazeeka.Msaidieni Kulipa Kodi, Leo Eng. Anaenda Kumtafuta ili ampe chake
Mzee ngoja nikamwambie Kitu, mm Sio Kibamia, kwanza Mm Ni Mrefu, Mweusi, Sio mwembamba Wala Sio Mnene, Nacheza Basketball, nina urefu Wa 6'9, Napata Wapi kiba100, lete Demu Wako atakupa HabariKibamia ni serious problem. Tafuta tibabu akusaidie. Utagongewa mpaka unazeeka.
Nitakutumia Pm demand notice ya kukumbushwa Kodi, uharibifu wa Nyumba na Lease Agreement Kati na Eng. Usiri na mkimbia KodiUmemkomalia dah[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Weka picha. Mashoga ndio wanaongea hivi hivi. Lazima upo na hormone za kike.Mzee ngoja nikamwambie Kitu, mm Sio Kibamia, kwanza Mm Ni Mrefu, Mweusi, Sio mwembamba Wala Sio Mnene, Nacheza Basketball, nina urefu Wa 6'9, Napata Wapi kiba100, lete Demu Wako atakupa Habari
Cool Beans [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]Weka picha. Mashoga ndio wanaongea hivi hivi. Lazima upo na hormone za like.
[emoji3] [emoji3][emoji3]
Msipende kuiongelea mifuko ya watu kwa kuongozwa na hisia.Taarifa nilizonazo Ni Kwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.
Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
Nikiiona ndio nitakuamini😅😅😅Nitakutumia Pm demand notice ya kukumbushwa Kodi, uharibifu wa Nyumba na Lease Agreement Kati na Eng. Usiri na mkimbia Kodi
Je, umetailiwa!?Cool Beans [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
Hahaha Mm Nakaa Kwangu Na Nafanya Kazi, Sihitaji kuishi kwa Mtu mKuuSitasahau leo nilichofanyiwa na Mpenzi wangu
Leo ilikuwa ni Birthday ya Girlfriend wangu so nimeamua kwenda kazini kwake kumsurprise. Nilipofika nikamvizia kwa nyuma nikamziba macho Kisha nikawa nampa mabusu motomoto shingoni, ghafla nikamsikia akisema JOMONI DAVID HAPA TUPO KAZN SI USUBIRI BAADAE. To cut story mimi naitwa Jeff 😢, hapa...www.jamiiforums.com
Kwa thread hii sidhan hata una kibanda cha kuishi,.
Kama unajua lolote kuhusu Harmonize, inamaana unamfuatiliaAcha kufuatilia maisha ya wanaume, utavishwa shanga.
Hata mm hayo maish nayaish Sana ilimradi tu nisumbuee ata Kama ninazo nazingua mno had watulie nawape nikiona wametulia ..Kuna mama mwenye nyumba ananidai kod ya miez miwili had kaamua kutulia Nampa kwa mwez mwez tu kaandika msg za vitisho bila majibu Niko dar geto liko singidaHuo ndo urijali sasa, rijali sharti adaiwe, akimbie deni, mara kalipa, mara vile ili mradi purukushani,
Ukihama hapo kwa shemeji yako ndio utajua maana halisi ya maisha ya rijali.
Sasa unaanza kujua issues za wanaume!!?Kama unajua lolote kuhusu Harmonize, inamaana unamfuatilia
Inshort na ww utavishwa shanga, (n kama unajua taarifa zake)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo ndo urijali sasa, rijali sharti adaiwe, akimbie deni, mara kalipa, mara vile ili mradi purukushani,
Ukihama hapo kwa shemeji yako ndio utajua maana halisi ya maisha ya rijali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mm hayo maish nayaish Sana ilimradi tu nisumbuee ata Kama ninazo nazingua mno had watulie nawape nikiona wametulia ..Kuna mama mwenye nyumba ananidai kod ya miez miwili had kaamua kutulia Nampa kwa mwez mwez tu kaandika msg za vitisho bila majibu Niko dar geto liko singida