Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi barua za kughushi tunazijua. Wewe ni mgeni hapa mjini kibamia wewe.mama D, mwanao Harmo Kimeumana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1754488
mama D, mwanao Harmo Kimeumana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1754488
Akili za Kijinga, Njoo Hyo Trh. 19/04 Uone Kama Ni za KugushiHizi barua za kughushi tunazijua. Wewe ni mgeni hapa mjini kibamia wewe.
Hili ndi la Kumuombea na Wala Hata Mm sifurahi, Kuna Mda Beki hazikabi unaamua kurudisha Mpira kwa Nyanda[emoji4][emoji4]Changamoto za maisha hizi dah[emoji26][emoji26][emoji26]
Mungu amfanyie wepesi Rajab
Weka pichaNajua Kaka na Nina evidence, kwanza uaharibu alioufanya, Pili demand notice ya kukumbushwa kulipa Kodi, pia demand ya Eng. Usiri Kutaka Kukagua Nyumba yake Kulingana na Mahitaji ya Mkataba.
Nimekuambia hizo ni issue za kughushi. Serikali haifanyi kazi kupitia mitandao.Akili za Kijinga, Njoo Hyo Trh. 19/04 Uone Kama Ni za Kugushi
Haya hizi za KugushiNimekuambia hizo ni issue za kughushi. Serikali haifanyi kazi kupitia mitandao.
Acha umbumbumbu ndio maana mnapelekwa mahakamani na na genge lako kwa ushamba huu.
Hizi nyumba za kurithi ni nini ??mama D, mwanao Harmo Kimeumana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1754488
Ndio ni za kughushi. Kwa kuandika hicho kijarada ndio ushahidi. Ondoa utoto wewe. Mnatumia kila njia kumchafua kijana wa watu.Haya hizi za Kugushi
[emoji4][emoji3][emoji3][emoji3]..... Wa Kwetu Punguza Povu, Hizi battle haziitaji Hasira hata Kidogo [emoji3][emoji3][emoji3]Ndio ni za kughushi. Kwa kuandika hicho kijarada ndio ushahidi. Ondoa utoto wewe. Mnatumia kila njia kumchafua kijana wa watu.
Acha ushamba mpumbavu wewe. Udhani wote humu ni watoto kama wewe!?
Rayvanny mbona upo kama wavaa dera Kule buzaAmefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Battle alizianza Runge akafa sembuse wewe mshamba tu. Battle za kwenye social media!? Ungekuwa kweli unajiamini ungeleta Jina lako na ujitokeze tukuone kama kweli unaweza battle.[emoji4][emoji3][emoji3][emoji3]..... Wa Kwetu Punguza Povu, Hizi battle haziitaji Hasira hata Kidogo [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii Battle Ni Kimya² Wa Kwetu, una Kisugar hatari [emoji867][emoji867][emoji3][emoji3]Battle alizianza Runge akafa sembuse wewe mshamba tu. Battle za kwenye social media. Ungekuwa kweli unajiamini ungeleta Jina lako na ujitokeze tukuone kama kweli tunaweza battle.
Kakosa hata clip
Tumvalishe dera huyu.
Huwezi. Nina uhakika huweiwezi hiyo battle na wenzio. Mtapotea mkiendekeza utoto. Msidhani Harmonize yupo pekee yake.Hii Battle Ni Kimya² Wa Kwetu, una Kisugar hatari [emoji867][emoji867][emoji3][emoji3]
Vannygirl na mama Levo wanatabu sanaKaleta barua ila yote kwa yote iwe kweli au uongo maisha yana changamoto nyingi
Ila harmo hajashindwa lipa kodi
Hizi ni fitna za kibiashara na Mungu atamfanyia wepesi
Mbna mnahaha Sana ,wazee msaidieni jomba nchumaliKanuni inajulikana mwanaume kufanya umbea maana yake yupo na hormone za kike au una kibamia
😀 😀😀