Tetesi: Harmonize kwa sasa ana hali mbaya kifedha, mpaka nyumba ya Mbezi Beach amehama

Tetesi: Harmonize kwa sasa ana hali mbaya kifedha, mpaka nyumba ya Mbezi Beach amehama

Taarifa nilizonazo ni nwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.

Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
Hii taarifa imekaa kipumbavu zaidi
 
Amefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Wewe ni mke wa mwenye nyumba? Tuanze na hilo.
 
Mtoa mada yuko sahihi kabisa. Mwenye nyumba amepata stress kweli kweli kumpangisha huyu kijana. Wote hawapokei simu zake; si Harmo, Mzungu wala Manager wake. Aende tu polisi huyo baba. Kijana nasikia kwa sasa anaishi studio / ofisi za Kondegang.
 
Taarifa nilizonazo ni nwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.

Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
"Mbezi Beach nimehama siku hizi nipo mbweni anajikosha,Awiiiiii" - Harmo.

Mama d Sio Za Kusikia² Bana, Nina uhakika 100% Muulize kwa Sasa Anakaa wapi

Hivi huyu si alimlipa dayamondi(wcb) mil 500 kuvunja mkataba? Mpaka sasa hana hata nyumba ya vyumba viwili?
 
Asee km ni kweli anadaiwa alipe maisha yasonge mbele akajenge kwake,cha mtu hakisitiri.
 
Najua Kaka na Nina evidence, kwanza uaharibu alioufanya, Pili demand notice ya kukumbushwa kulipa Kodi, pia demand ya Eng. Usiri Kutaka Kukagua Nyumba yake Kulingana na Mahitaji ya Mkataba.

Amlipe tuu mzee wa watu mstaarabu sana aisee!
 
Mpunga wote alikomba Kajala , na alimkopa pesa ndefu Sana mshikaji , sasa mwamba amebaki empty headed huku nyeti zake zikiwa wazi ...ogopa Sana kitu mwanamke , kuna mengi mwanamke aliongea na Shetani pale Edeni...!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah kama haya ni ya kweli bhac Harmonize ni mjinga mnoo
 
Eng Usiri mzee mtaratibu sana, amewahi kuwa mzee wetu wa Usharika Mbezi beach Lutheran.

Chondechonde wewe mmakonde lipa pesa za mzee wa watu kabla hayajakukuta mabaya
Uncle Wangu Mtaratibu Sana.
 
Taarifa nilizonazo ni nwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.

Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
Kamleta awilo na vic kimani. Vijana wana pesa hawa bwana
 
Ashamtaja mpaka mmiliki wa nyumba
Haya leteni sasa na nyie[emoji23]

Usianze ligi sasa[emoji2088][emoji2088][emoji2088]

Ova
Nakumbuka mwaka Jana alikuwa anadaiwa m. 30 ya Kodi Mpaka Sasa Imepanda Hadi m.50
 
Amefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha


Ivi kwann hawajengag hawa kiwanja uko boko madale ama bunju kigambon kwa 10m unapata cha maana kabisa sqm ata elf moja na kitu na nyumba ata 30m ina simama apa ndo uwa mashaka na hawa wasanii wetu yan mtu anaingiza ata 100m kwa mwaka anashindwa kujenga mfanyakaz wa lak 5 anajenga kwa mkopo



A
 
Acha Kejeli Kwa Njomba Nchumali Kaka
Hata simkejeli mimi ninawaheshimu kama mtu anaweza panga ghorofa 800$-1500$ hata kwa miezi sita mimi ninampa Asalaam Aleikhum.
Watoto wana sent ziwe za show off au wanazo kweli ila matumizi wanafanya
 
Back
Top Bottom