Tetesi: Harmonize kwa sasa ana hali mbaya kifedha, mpaka nyumba ya Mbezi Beach amehama

Amefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Mbona una tabia za kichoko?
 
soma hiyooo Josh J


Ova
 
Acha uongo,kuna nyumba ya kisasaa siku hizi ina curtain box?
 
Ku keep up na maisha ya kimjini mjini ni gharama sana.. Hawa wasanii wanapata hela nzuri tu ila shida matumizi yao na lifestyle wanayoishi..

Hawa mademu wa kimjini mjini ndio wanachakata pesa hata uzalishe vipi hutafanya lolote la maendeleo. Wasanii wetu wanatumia gharama kubwa sana kwa PR za kishenzi shenzi tu ili wajilandishe thamani yao.

Kama huyu Konde, kwa mama yake kijijini kashindwa hata kumjengea nyumba ya maana na kumvutia umeme. Kinyumba cha kawaida hata rangi hakijapakwa, umeme hajavutia kumwekea solar sijui. Sasa uwakute mjini wanakimbizana na slay queen's unaeza sema ni mabilionea.

Na hii sio kwa Konde pekeake. Hata huko Wasafi nako ni njaa tu na PR zisizo na msingi. Huyo diamond juzi anadanganya watu eti kasign deal ya Billion 10, hivi usign Billion 10 mama yake angekuwa anaenda kuuza vitenge na madela pale Sinza??
 
Aya mauongo sijui uwa ya nn aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…