Harmonize, Msanii anayepambana kufanya show za kimataifa lakini shida ni management yake

Harmonize, Msanii anayepambana kufanya show za kimataifa lakini shida ni management yake

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
Sina nia ya kumdharau mtu, lakini ukweli lazima usemwe.

Harmonize ni Msanii mkubwa kwa sasa hapa Tanzania, ukitafuta Wasanii watatu wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania huwezi mkosa Harmonize.

Harmonize ana weza fanya show mkoa wowote hapa Tanzania kwa kuwa show nyingi za hapa Tanzania kwa Wasanii wetu wanatafutwa, hazitaji exposure wala mikakati au uelewa wa mambo saaana, Msanii unaitwa njoo upige show Fiesta, ukikubaliana na dau lao unaenda.

Harmonize kwa sasa yuko kwenye kilele cha juu cha kipaji chake, na Kijana ni mbunifu, ana nidhamu ya kazi na mchapakazi.

Kwa namna ilivyo ni muda wake sasa wa kufanya show kubwa za kimataifa kama wanazofanya wasanii wakubwa wa Nigeria. Tatizo ni aliyenyuma ya Harmonize, anayesikilizwa kuliko watu wote, Manager Kajala Masanja, je ana uwezo wa kumfikisha Harmonize kwenye level za akina Wizkid, Davido etc?

Kajala ni mbobevu kule ambako sura tu au umbile liinamfanya mtu awe Msanii mkubwa hata bila kipaji kwa hapa Tanzania. Huku kwenye music hataweza mfikisha popote Mmakonde

Si kwa nia mbaya, Harmonize you need an aggressive Management, Watu wenye connection, uelewa mkubwa wa mambo ya music na watu wanaoweza kuforce network.

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Shows za nje hazihitaji Manager was Bongo.

Harmonize kama anataka shows za nje, inabidi apate manager mwingine was nje anayemudu.

Shows za nje hufanyika kwa namna tatu:

- Shows za kawaida ( aka za sebuoeni ), hizi promoters huwa ni kina DK Global na target audience huwa ni Diaspora was East Africa walioko huko. Hapa wapopo huwa wanajza sana kutokana na audience yao huko nje kuwa no kubwa sana, na pia Waafrica wengine wanaenda pia maana muziik wao.

Huo Diamond mwenyewe pamoja na kufanya uchawa, kujitta international na kutumia ghrama kujiweka karibu na wanaijeria hajawahi kupata shows Nigeria.
  • Shows za kuitwa kwenye Matamasha. Mfano inatokea tamasha kubwa LA Muziki, huko nje, let's say One Africa Carnival hapo wasanii kutoka East Africa mtaitwa lengo likiwa ni kuvuta audience ya east Africa. Ndio maana wasanii was kina zote za East Africa huitwa.
  • Shows kubwa kubwa kama za kina Burnaboy, Wizkkid hizi zinahitaji mikakati mizito ya kujiweka karibu na magodfather wa Muziki duniani ili upewe global stages. Hii in mbinu kubwa Sana kileleni ambayo hata wanigeria ni baadhi tu wananufaika kwa sasa.
 
Hajawai kuperform kule Gabon? Kweny tunzo kibao kuwa serious diamond is another level high anatarget audiences kibao wa nje .. Diamond ni mastermind shobo zake Zina manufaa kashabika nchi kibao mpaka Kuna birthday sijui sherehe uchwara sijui ni Korea ila nchi ya Asia alipishapiga show.

Harmonize hana akili za kumzidi diamond hata robo sio management tu collabo za nje zinachangia ,utashangaa diamond na yule muhindi wanaenda kuperform India ..
 
Hajawai kuperform kule Gabon? Kweny tunzo kibao kuwa serious diamond is another level high anatarget audiences kibao wa nje .. Diamond ni mastermind shobo zake Zina manufaa kashabika nchi kibao mpaka Kuna birthday sijui sherehe uchwara sijui ni Korea ila nchi ya Asia alipishapiga show.


Harmonize hana akili za kumzidi diamond hata robo sio management tu collabo za nje zinachangia ,utashangaa diamond na yule muhindi wanaenda kuperform India ..
Hii mada inawahusu watu wenye akili timamu, siyo mashabiki uchawa.
 
Shows za nje hazihitaji Manager was Bongo.

Harmonize kama anataka shows za nje, inabidi apate manager mwingine was nje anayemudu.

Shows za nje hufanyika kwa namna tatu:

- Shows za kawaida ( aka za sebuoeni ), hizi promoters huwa ni kina DK Global na target audience huwa ni Diaspora was East Africa walioko huko. Hapa wapopo huwa wanajza sana kutokana na audience yao huko nje kuwa no kubwa sana, na pia Waafrica wengine wanaenda pia maana muziik wao.

Huo Diamond mwenyewe pamoja na kufanya uchawa, kujitta international na kutumia ghrama kujiweka karibu na wanaijeria hajawahi kupata shows Nigeria.
  • Shows za kuitwa kwenye Matamasha. Mfano inatokea tamasha kubwa LA Muziki, huko nje, let's say One Africa Carnival hapo wasanii kutoka East Africa mtaitwa lengo likiwa ni kuvuta audience ya east Africa. Ndio maana wasanii was kina zote za East Africa huitwa.
  • Shows kubwa kubwa kama za kina Burnaboy, Wizkkid hizi zinahitaji mikakati mizito ya kujiweka karibu na magodfather wa Muziki duniani ili upewe global stages. Hii in mbinu kubwa Sana kileleni ambayo hata wanigeria ni baadhi tu wananufaika kwa sasa.
Uko sahihi kabisa mkuu MoseKing
 
Hajawai kuperform kule Gabon? Kweny tunzo kibao kuwa serious diamond is another level high anatarget audiences kibao wa nje .. Diamond ni mastermind shobo zake Zina manufaa kashabika nchi kibao mpaka Kuna birthday sijui sherehe uchwara sijui ni Korea ila nchi ya Asia alipishapiga show.


Harmonize hana akili za kumzidi diamond hata robo sio management tu collabo za nje zinachangia ,utashangaa diamond na yule muhindi wanaenda kuperform India ..
Diamond ana Management nzuri kuliko Harmonize Accumen Mo
 
Aina mziki anayo ifanya Harmo kwa sasa ni tatizo. Ila yule dogo Mario naona anahitaji busta ndogo sana kama ile Teamo amatafute msanii mkubwa Africa apige naye rmx inaweza mfikisha kwenye level fulani aache ubahiri atoe hela ili apate hela. Ila Harmonize naona anazidi kutoa local contents kila siku, Diamond hizi Collabo zake mbili za juzi alizo shirikishwa zinazidi kumbust kimataifa.

Mwezi uliopita Harmo alikuwa na show UK kwenye ukumbi wa watu 700,mpaka Kikeke akawa anaipiga promo, ila ndio hivyo show ilishindikana sababu tu mauzo ya ticketi hayakuwa mazuri.Tatizo jingine hazipi mda wake nyimbo zake mpaka anashindwa kuzifanyia promo.
 
Hii mada inawahusu watu wenye akili timamu, siyo mashabiki uchawa.

Hao ni mashabiki maandazi diamond hajawahi kupenya Nigeria pamoja na kuwekeza huko hata strategy za kusema kanunua nyumba south ni anatafuta audience ya huko, matamasha diamond ya west africa anayojaza ni yale ya pamoja, yaani west africa msanii wao akifika marekani au ulaya anajaza kwa sababu kwanza jamaa wako wengi halafu wana connection kwenye top ya magodfather wa music huko duniani, pili wanamiliki radio station lakini kumbi za starehe lakini hii walianza zamani sana, ilifikia hatua mr. flavour akalalamika kwenye media zao kutopiga muziki wa east africa, ukweli wakitoka nigerians wanafuata wacongoman kua na audience kubwa ulaya na amerika
 
Hao ni mashabiki maandazi diamond hajawahi kupenya Nigeria pamoja na kuwekeza huko hata strategy za kusema kanunua nyumba south ni anatafuta audience ya huko, matamasha diamond ya west africa anayojaza ni yale ya pamoja, yaani west africa msanii wao akifika marekani au ulaya anajaza kwa sababu kwanza jamaa wako wengi halafu wana connection kwenye top ya magodfather wa music huko duniani, pili wanamiliki radio station lakini kumbi za starehe lakini hii walianza zamani sana, ilifikia hatua mr. flavour akalalamika kwenye media zao kutopiga muziki wa east africa, ukweli wakitoka nigerians wanafuata wacongoman kua na audience kubwa ulaya na amerika
Yes, in short Wasanii wa Bongo wamejitahidi mno.

Lakini siyo rahisi kama watu wanavyodhani.
 
Hao ni mashabiki maandazi diamond hajawahi kupenya Nigeria pamoja na kuwekeza huko hata strategy za kusema kanunua nyumba south ni anatafuta audience ya huko, matamasha diamond ya west africa anayojaza ni yale ya pamoja, yaani west africa msanii wao akifika marekani au ulaya anajaza kwa sababu kwanza jamaa wako wengi halafu wana connection kwenye top ya magodfather wa music huko duniani, pili wanamiliki radio station lakini kumbi za starehe lakini hii walianza zamani sana, ilifikia hatua mr. flavour akalalamika kwenye media zao kutopiga muziki wa east africa, ukweli wakitoka nigerians wanafuata wacongoman kua na audience kubwa ulaya na amerika
😅😅😅Alishapiga sana huko kashatoka kitambo palimshinda alishachukua tunzo kadhaa muda fulani aliteka soko ila akapotea mazima ,ni kwamba wanaijeria ni wabinafsi na Wana umimi hata patokee chipukizi ana nyimbo mbili ukimuweka na diamond wanachagua wa kwao ..

Pia nje kama ulivyosema wapo kibao kupeana sapot
 
Back
Top Bottom