joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wanaija wameishika MTV Base kama ya kwao mpaka wasanii wao wa uchochoroni wanapata promo. East Africa nina mwonaga Diamond na Sauti Sol.😅😅😅Alishapiga sana huko kashatoka kitambo palimshinda alishachukua tunzo kadhaa muda fulani aliteka soko ila akapotea mazima ,ni kwamba wanaijeria ni wabinafsi na Wana umimi hata patokee chipukizi ana nyimbo mbili ukimuweka na diamond wanachagua wa kwao ..
Pia nje kama ulivyosema wapo kibao kupeana sapot
Wale jamaa Wanasopat na ni wazalendo hakuna Africa hii ..Wanaija wameishika MTV Base kama ya kwao mpaka wasanii wao wa uchochoroni wanapata promo. East Africa nina mwonaga Diamond na Sauti Sol.
Siku hizi MTV inaboa kinyama,wanapiga nyimbo za hovyo za wanaija.
Tuzo za maana hapa Africa zilikuwa Channel O, MTV Base, MTV EMA (siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).😅😅😅Alishapiga sana huko kashatoka kitambo palimshinda alishachukua tunzo kadhaa muda fulani aliteka soko ila akapotea mazima ,ni kwamba wanaijeria ni wabinafsi na Wana umimi hata patokee chipukizi ana nyimbo mbili ukimuweka na diamond wanachagua wa kwao ..
Pia nje kama ulivyosema wapo kibao kupeana sapot
Punguza chuki ...hapo chini umezaa maviatu makubwa kwa ubahili ,tafuta pesaTuzo za maana hapa Africa zilikuwa Channel O, MTV Base, MTV EMA (siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Tuzo nyingine zote sijui Afrimma ni Uninga ujinga tu. Hazina tofauti na Tuzo za Hbaba
Amechagua mbususu immeneji so tusubirie itakapomfikishaSina nia ya kumdharau mtu, lakini ukweli lazima usemwe.
Harmonize ni Msanii mkubwa kwa sasa hapa Tanzania, ukitafuta Wasanii watatu wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania huwezi mkosa Harmonize.
Harmonize ana weza fanya show mkoa wowote hapa Tanzania kwa kuwa show nyingi za hapa Tanzania kwa Wasanii wetu wanatafutwa, hazitaji exposure wala mikakati au uelewa wa mambo saaana, Msanii unaitwa njoo upige show Fiesta, ukikubaliana na dau lao unaenda.
Harmonize kwa sasa yuko kwenye kilele cha juu cha kipaji chake, na Kijana ni mbunifu, ana nidhamu ya kazi na mchapakazi.
Kwa namna ilivyo ni muda wake sasa wa kufanya show kubwa za kimataifa kama wanazofanya wasanii wakubwa wa Nigeria. Tatizo ni aliyenyuma ya Harmonize, anayesikilizwa kuliko watu wote, Manager Kajala Masanja, je ana uwezo wa kumfikisha Harmonize kwenye level za akina Wizkid, Davido etc?
Kajala ni mbobevu kule ambako sura tu au umbile liinamfanya mtu awe Msanii mkubwa hata bila kipaji kwa hapa Tanzania. Huku kwenye music hataweza mfikisha popote Mmakonde
Si kwa nia mbaya, Harmonize you need an aggressive Management, Watu wenye connection, uelewa mkubwa wa mambo ya music na watu wanaoweza kuforce network.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nnemba vatandahimba Ana ng'anyaa hatariHarmonize hajielewi.
Dada we wa kusini nini? Naona umekimwaga kimakonde hatari 😂Nnemba vatandahimba Ana ng'anyaa hatari
Nnemba vatandahimba Ana ng'anyaa hatari
Siyo tu management, kamzidi kila kitu kuanzia ubunifu, aggressiveness, stage performance, connections hapo kwa kutaja vichache tu.Diamond ana Management nzuri kuliko Harmonize Accumen Mo
A hater is just a fan in disguise, viewers choice award(MTV EMA) ni category kama categories nyingine hivyo usilazimishe kuishusha thamani kisa tu aliyewahi kuipata unamchukia.Tuzo za maana hapa Africa zilikuwa Channel O, MTV Base, MTV EMA (siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Tuzo nyingine zote sijui Afrimma ni Uninga ujinga tu. Hazina tofauti na Tuzo za Hbaba
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Punguza chuki ...hapo chini umezaa maviatu makubwa kwa ubahili ,tafuta pesa
Kuweni Basi, miaka imeenda.A hater is just a fan in disguise, viewers choice award(MTV EMA) ni category kama categories nyingine hivyo usilazimishe kuishusha thamani kisa tu aliyewahi kuipata unamchukia.
Categories huwekwa baada ya panel ya moguls kwenye fani husika kufanya tafiti zao na kufikia makubaliano, one irrelevant hater can't change that.
Shows za nje hazihitaji Manager was Bongo.
Harmonize kama anataka shows za nje, inabidi apate manager mwingine was nje anayemudu.
Shows za nje hufanyika kwa namna tatu:
- Shows za kawaida ( aka za sebuoeni ), hizi promoters huwa ni kina DK Global na target audience huwa ni Diaspora was East Africa walioko huko. Hapa wapopo huwa wanajza sana kutokana na audience yao huko nje kuwa no kubwa sana, na pia Waafrica wengine wanaenda pia maana muziik wao.
Huo Diamond mwenyewe pamoja na kufanya uchawa, kujitta international na kutumia ghrama kujiweka karibu na wanaijeria hajawahi kupata shows Nigeria.
- Shows za kuitwa kwenye Matamasha. Mfano inatokea tamasha kubwa LA Muziki, huko nje, let's say One Africa Carnival hapo wasanii kutoka East Africa mtaitwa lengo likiwa ni kuvuta audience ya east Africa. Ndio maana wasanii was kina zote za East Africa huitwa.
- Shows kubwa kubwa kama za kina Burnaboy, Wizkkid hizi zinahitaji mikakati mizito ya kujiweka karibu na magodfather wa Muziki duniani ili upewe global stages. Hii in mbinu kubwa Sana kileleni ambayo hata wanigeria ni baadhi tu wananufaika kwa sasa.
Tuzo za maana hapa Africa zilikuwa Channel O, MTV Base, MTV EMA (siyo viewers choice kama ya Rayvanny ).
Tuzo nyingine zote sijui Afrimma ni Uninga ujinga tu. Hazina tofauti na Tuzo za Hbaba
Naona jamaa ameshakupasua nyuma tayari. Akili hakuna kabisaPunguza chuki ...hapo chini umezaa maviatu makubwa kwa ubahili ,tafuta pesa
Mwenzio kasema nigeria wewe unasema gabon[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Hajawai kuperform kule Gabon? Kweny tunzo kibao kuwa serious diamond is another level high anatarget audiences kibao wa nje .. Diamond ni mastermind shobo zake Zina manufaa kashabika nchi kibao mpaka Kuna birthday sijui sherehe uchwara sijui ni Korea ila nchi ya Asia alipishapiga show.
Harmonize hana akili za kumzidi diamond hata robo sio management tu collabo za nje zinachangia ,utashangaa diamond na yule muhindi wanaenda kuperform India ..
Kwamba kapiga mpaka Gabon, si kasema hajawahii kualikwa nje ya bongo.Mwenzio kasema nigeria wewe unasema gabon[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]