Harmonize mshitaki Tundaman kwa kukuharibia wimbo wako " Yanga hii inafungwaje"

Harmonize mshitaki Tundaman kwa kukuharibia wimbo wako " Yanga hii inafungwaje"

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako kwenye game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ule wimbo wa Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Wimbo ni wa kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.

Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
 
mkuu ni wimbo sio nyimbo. nyimbo ni nyingi.
tukirudi madani, 🤣🤣 unaweza kuonekana majungu lakini yote umesema ni ukweli. jamaa hana kipaji. na kujiita tunda alizingua. tatu, afanye za maombolezo anapo fit huko. suala la kuingia na jeneza kwa miiko ya kiafrika alizingua
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako no game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ile nyimbo ya Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Nyimbo ni ya kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.


Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
 
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako no game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ile nyimbo ya Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Nyimbo ni ya kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.


Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
Kumbe anaimba, ananyimbo unazifuatilia hapohapo yeye sio msanii

Tulia dawa ikuingieni
 
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako no game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ile nyimbo ya Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Nyimbo ni ya kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.


Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
Tunda girl toka nimjue sijawahi kusikia hit song yake ambayo hajatoa collabo na msanii mwingine
 
Sijui kwanini alijiita Tunda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako kwenye game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ile nyimbo ya Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Nyimbo ni ya kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.


Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
Madamu, mwanaume akikukataa achana naye tafuta mabwana wengine. Tunda man unasema siyo mwanamuziki?we dogo unaleta usimba na yanga kwenye mambo ambayo huyafahamu. Tafuta mume olewa ishi naye.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Tundaman kwanza nani alikudanganya wewe ni msanii wa muziki?

Ni kwamba hata kutoka kwako kwenye game ulitoka kwa sababu kaka zako akina Heri Mzozo wali wa persuade akina Chidy Benz wasaidie kukutoa lakini huna kipaji chochote cha kuimba muziki wewe.

Unaweza kuimba nyimbo za maombolezo.

Melodies za nyimbo zako huwa zimekaa kimaombolezo maombolezo.

Hata ule wimbo wa Tmk feat Tiptop connection uli haribu wewe. Wimbo ni wa kurusha ila wewe umeimba kwa tune ya maombolezo.

" Aaah Temekeee haaaa Tiptop"
Kama wimbo wa msiba vile.

Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.


Harmonize mshitaki huyu jamaa kwa kukuharibia wimbo wako.

Kwanza ulishawahi kuona wapi mwanaume anajiita jina " Tunda" au hii code name?

Ndio maana mweupe kama wa jina wako Tunda aliekuwa demu wa Young Dee.
Duh! Mkuu ume panic. Take it easy usijepata shinikizo la damu.
 
Back
Top Bottom