[emoji23] [emoji23] [emoji23] makundi huwa hayadumuEeeh,hata hivyo muzikï wa makundi haupo duniani,ni hao tu wcb wanajikunyata kukingana baridi
Wabongo wanapenda sana umwinyi,sioni ubaya kila mmoja kufanya yakehata kama umemshika mkono mtu. haijalishi awe mtumwa wako milele.ikiwa kaweza kutembea mwenyewe. mwisho wa siku maisha lazima yaendelee!
INAMNYIMA KUNYA!!!Wawe "Closer" au Apart, wewe inakunyima kula?!!
Acha Uongo KijanaHakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana
Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz
Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano
Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa Muongo Uwe Na Kumbu²Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana
Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz
Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano
Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliemfanya a_hit ni nani kama si boss wake na menejimenti kwa ujumla?ingia hata insta harmo kajitenga kabisa na wenzie, hasapoti kazi za wenzie kama zamani kuna kitu sio bure, aoafu ikumbukwe mwaka jana harmo ndio alihit kuliko wasanii wote pale wcb alifanya vizuri sana
Na hadi Makonda kamsema hadharani si bure kuna kitu kinaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Harmo mtulivu sana, domondi anapenda kunyenyekewa na kusifiwaTatizo domo anapenda kuabudiwa sana
Ila harmo anamzid domo sana kipaj cha kuomba ndio tatizo
Eti kaendekeza ulevi,walitaka awe kitombi kama domo ili asionekane mlevi?domo kinachomsaidia ni kupenda k#$ma kupita maelezo,ndio ulevi wake ,vinginevyo angekuwa anapiga gambe na bange kama wengine
Harmonize toka awe na Sara hajambato k nyingine,ila domo daily anabadilisha k kama aliletwa duniani kumbato tu
Amkumbuke marehemu k Wa bongo muvi,kwani Mungu kamwe hamfichi mnafki
Sent using Jamii Forums mobile app
FANYENI KAZI
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana
Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz
Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano
Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante JfHakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana
Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz
Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano
Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app