Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

Harmonize na Diamond kuna dalili hawapo closer kama zamani kuna tatizo

Kama yeye alitoka kwa Ruge tena kwa kejeli kubwa kwa nin na bwana mdogo asitoke akajitafutie yeye na familia yake
 
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana

Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz

Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano

Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Uongo Kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana

Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz

Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano

Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa Muongo Uwe Na Kumbu²
IMG_20190208_080942.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ingia hata insta harmo kajitenga kabisa na wenzie, hasapoti kazi za wenzie kama zamani kuna kitu sio bure, aoafu ikumbukwe mwaka jana harmo ndio alihit kuliko wasanii wote pale wcb alifanya vizuri sana

Na hadi Makonda kamsema hadharani si bure kuna kitu kinaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliemfanya a_hit ni nani kama si boss wake na menejimenti kwa ujumla?
 
Tatizo domo anapenda kuabudiwa sana
Ila harmo anamzid domo sana kipaj cha kuomba ndio tatizo
Eti kaendekeza ulevi,walitaka awe kitombi kama domo ili asionekane mlevi?domo kinachomsaidia ni kupenda k#$ma kupita maelezo,ndio ulevi wake ,vinginevyo angekuwa anapiga gambe na bange kama wengine
Harmonize toka awe na Sara hajambato k nyingine,ila domo daily anabadilisha k kama aliletwa duniani kumbato tu
Amkumbuke marehemu k Wa bongo muvi,kwani Mungu kamwe hamfichi mnafki

Sent using Jamii Forums mobile app
Harmo mtulivu sana, domondi anapenda kunyenyekewa na kusifiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakitengana ndio safi.. wcb wamebaki kuimba matusi tu kama watoto wa mtaani.
Chalenji itakuwepo na mziki mzuri
 
Yametimia mtabiri wetu
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana

Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz

Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano

Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu asiyejua kuwa Harmonize ndio alikuwa kipenzi cha Diamond platnumz, kila nyimbo walishirikishana na Diamond alikuwa akimpiga taff sana

Lakini kipindi cha hivi karibuni watu wakaribu pale wcb inasemekana kuwa kijana ameanza kumkera Boss wake, inasemekana kuwa Hamo sasa amekuwa mtu wa vilevi kupindukia kitu ambacho kimekuwa kikimuuzi Diamond platnumz

Pia inasemekana kijana kwa sasa hakamatiki pale WCB amekuwa na dharau baada ya kutoboa kimziki, kwa sasa hata Diamond hasapoti tena kazi za Harmo kwenye ukurasa wake kama zamani, Hata nyimbo mpya ya Tetema Harmonize hajaipost kabisa kwenye page yake ili kuonyesha ushirikiano

Ikumbukwe hata Rich mavoko alianza hivi hivi kupotezeana na wenzake, kitu ambacho watu walihisi ni kiki ya wimbo mpya lakini mwishowe Rich Mavoko akajitoa WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Jf
 
Back
Top Bottom