Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

Wangepiga wamegeukia ukutani ndo ingekuwa picha bora sana
 
Mbona picha nzuri tu.au Sababu nimekunywa jembe energy naona vitu vinakorogana
 
Ndio kina nan hao watu, manake nasikia Kondeboy Mara Kajala?
 
Kwa bahati Harmonise akazaa na Kajala, huyo atakaezaliwa atakua anamuitaje mtoto mkubwa wa Kajala?
Dada au mama mdogo?
 
Harmo hana cha kupoteza ila huyo wa nyuma yake anatumika kwenye kiki hadi huruma.
 
Mungu nisamehe sijawahi muelewa huyu dogo yaan sifa ndio zinanikera zaid
 
Pesa ambazo dogo anaharbu angefanya
Investment ya maana mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…