Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

Kafanye wee, pesa za mtu matumizi upange wee?
Tafuta pesa zako, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikiri watu wote wasiofanya kama wao hawana pesa?
 
Kafanye wee, pesa za mtu matumizi upange wee?
Tafuta pesa zako, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wa ajabu sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Watu wa ajabu sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Cha ajabu mwanaume mzimaa, na kende zinabembea chini ya kiuno anaongea vile, tena mkavu hata hajustukiii, woiiiiiiih

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Watu wamevurugwa lol
 
Unafikiri watu wote wasiofanya kama wao hawana pesa?
Kwan wao wamekatazwa au kuzuiliwa kufanya km wao? Kheeeh mbna mnapangia watu maisha yao, kuweni buzzy na maisha yenu, au mnataka maisha ya wenzenu yawe yenu.

Yaan niko hoi kwa kucheka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kafanye wee, pesa za mtu matumizi upange wee?
Tafuta pesa zako, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo sio kumpangia mkuu ni kuwa tumechoka kuwachangia ,hawa hawakawii kuomba wananchi au serikali iwasaidia pale unga unapozidi maji, hawakawii kutuwekea namba zao za Mpesa /Tigo pesa hadharani. Swine zao.
 
Kwan wao wamekatazwa au kuzuiliwa kufanya km wao? Kheeeh mbna mnapangia watu maisha yao, kuweni buzzy na maisha yenu, au mnataka maisha ya wenzenu yawe yenu.

Yaan niko hoi kwa kucheka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23
Sawa nawe anza basi
 
Back
Top Bottom