Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

Harmonize na Kajala kama si ushamba ni nini?

Tatizo sio kumpangia mkuu ni kuwa tumechoka kuwachangia ,hawa hawakawii kuomba wananchi au serikali iwasaidia pale unga unapozidi maji, hawakawii kutuwekea namba zao za Mpesa /Tigo pesa hadharani. Swine zao.
Huwa mnalazimishwa kuchangia? Usipochangia unashitakiwa?

Acheni kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.
 
Hivi kuna mbususu ya zamani kama ya kajala?
Ukweli mbususu haizeeki
 
Huwa mnalazimishwa kuchangia? Usipochangia unashitakiwa?
Acheni kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.
Lazima tujipe umuhimu sababu tunaombwa sio sisi tunaotoa namba na kulialia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
 
Lazima tujipe umuhimu sababu tunaombwa sio sisi tunaotoa namba na kulialia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
Una matatizo wee sio buree, khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa bahati Harmonise akazaa na Kajala, huyo atakaezaliwa atakua anamuitaje mtoto mkubwa wa Kajala?
Dada au mama mdogo?
Yaan eti binti ndo alianza kuchezea libolo la harmo, mara mama akaingia kulichezea lakini harmo pia akawa bado anatamani ya binti....kajala ni mjinga sasa yale mameseji aliyavujisha kumfurahisha nan, ona sasa analala na mtu ambaye ata binti yake anajua ako vipi na show zake
 
Back
Top Bottom