NAKAZIAmwanaume kuanza kubishana na mwanamke mliye achana wala haina mana
Mguu wa mtotoKajala bado anamuelewa konde ni basi tu
Njaa mkuuKajala bado anamuelewa konde ni basi tu
Duuh konde ana maneno aisee au kaandikiwa huyu si bureStar wa Bongo Flava, Harmonize amemchana aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na kumwambia aache kumzungumzia vibaya wakati bado anahangaika kutaka warudiane.View attachment 2713440View attachment 2713439
Kuna wengine wana dharauKugombana na ex ni ushamba.....ex hajibiwi...kaushaaa
Hiyo dharau anaitoa Ili kufanya ureact....ila usipompay attention.....hakuna shida mkuuKuna wengine wana dharau