chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
huyu alieandika ni harmonize kwelii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuacha alafu unaenda kuniita CHIZI sasa ngoja nikuonyeshee UCHIZI wangu ulivyo natema nyongo 😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mxxiewwww
Huyo kachamba, hajachana lolote hapo huyo mmakonde yeye aseme anataka gari lake linamuuma
Ningeshangaa maex wa ki Tz muachane kistaarabu bila hekaheka za kutoleana shit subutu
Ila kwa Harmonize amezidi kiasi cha kuonekana kama anaigizaSio Harmonize pekee mwenye hili tatizo, zaidi ya asilimia 89 ya Wasanii wakibongo wenye Followers wengi mitandaoni wanatatizo la kuandika, sio Diamond ama Alikiba.
Ndiyo maana kuna wakati tulishauri hapa JF kwamba sio vibaya hawa jamaa wakaajiri Social and Content Managers walau wawe kama maAdmins kwenye accounts za mitandao yao.
Huyo maza ana reality show? Channel gani?Mmoja anataka kiki muziki uende mwingine aongeze viewership kwenye reality TV show yao. Mbaya zaidi, Harmo hajawahi pata power couple kama aliyopata na Kajala maana hata ya Wolper haikuwa na hype kwa sababu, yeye alionekana kama anabebwa, vilevile kajala toka enzi za P funk, hajawahi kupata hype kama aliyoipata na harmo. Wote wanatumiana tu, no hard feelings zaidi ya biashara
Nakuacha alafu unaenda kuniita CHIZI sasa ngoja nikuonyeshee UCHIZI wangu ulivyo natema nyongo [emoji38]
Nenda kwa Sam Misago kakuandikia vizuriUkweli ninkwamba siwezi kusomaga miandiko na hati ya harmonizer
Na anaigiza kweli upande wake hii ni fursa maana hakuwa na namna nyingine ya kuwatuliza usafini zaidi ya hiiIla kwa Harmonize amezidi kiasi cha kuonekana kama anaigiza
Duuuh na wewe vuzi lako unatumia nyembe ngapi kulinyoa?Sasa kwann asimuite CHIZI km anaacha watoto wenzie anaenda kukuruka na watu ambao kunyoa vuzi mpk atumie nyembe 2 [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi ningemuita CHIZI FRESH
Duuuh na wewe vuzi lako unatumia nyembe ngapi kulinyoa?
Kwa sababu wabongo upenda hizi mambo so kwao ni biasharaMmoja anataka kiki muziki uende mwingine aongeze viewership kwenye reality TV show yao. Mbaya zaidi, Harmo hajawahi pata power couple kama aliyopata na Kajala maana hata ya Wolper haikuwa na hype kwa sababu, yeye alionekana kama anabebwa, vilevile kajala toka enzi za P funk, hajawahi kupata hype kama aliyoipata na harmo. Wote wanatumiana tu, no hard feelings zaidi ya biashara
Vuzi limekomaa 😂[emoji23][emoji23][emoji23] 20
Umejuaje tena?Leo ndio najua kumbe konde alimkula paula toka 2017 huko ina maana kipindi kile video zake zinavuja alikuwa anapasha kiporo😬
Ameandika konde huko 😁😁Umejuaje tena?