Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Umri ukienda nyembe zinavunjika.[emoji1]Vuzi linafanyiwa waxing duuuh [emoji849][emoji38][emoji38][emoji38]
Waxing moja tu linaanza kuchipuka baada ya miezi sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri ukienda nyembe zinavunjika.[emoji1]Vuzi linafanyiwa waxing duuuh [emoji849][emoji38][emoji38][emoji38]
Bora harmonize kuliko ww, unanipaga shida sana.Ukweli ninkwamba siwezi kusomaga miandiko na hati ya harmonizer
Unapenda umbeya kudadeq hapo umeinjika dagaa chungu jikoni unaumiza watu pua tu kwa makelele chwaaaaaaaa huku unachoma viungo vya pilau kwenye Moto uonekane unapika pilauMambo kumbe ya moto eeh sijui kwa nini sina Mb nakosa ubuyu
Enheee mtoa mada ongeza screenshot tusafishe macho.
Mimi nimejua leo kwamba huyo binti anavuta bangi matakoni sasa Marioo ana hali gani huko?Paula mrembo sana, anakojoa Ceres Fruit Juice
Kajala kayataka wacha yamkute kulikuwa kuna ulazima gani katika kipindi chao kila week kumtaja konde[emoji16][emoji16]
mtu kahonga gari na bado wanamwita chizi lazima imuumeBongo ni mji wa biashara sasa wewe ukitafuta mapenzi yakweli mjini hapa ndo mwisho wake yanatokea kama hayo..
Sema Mjuba angevunga tu kiume yapite ayo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hv ni mm tu ndo sijaelewa hapa 🤔
Na Konde aliwasaidia mno..
Na hata sasa kama wangekuwa na adabu mbali na kuachana bado angeweza kuwasaidie...
Ila kwa ujinga wao hadi Duka la Mwenge limekufa....
Hajibu[emoji1787][emoji1787]Hatariii.
Kajala anajibu na yeye?
Wale ni Wajinga sana...
Yale malezi anayompa yule Binti yake sijui amejifunzia wapi... Imagine maisha Kajala aliyoishi,Jela alipopita,Bado anataka na Binti yake naye aje apite kule kule alikopita..
Nadhani ndiyo maana P-Funk aliamua kukaa kimya..
Hovyo sana...Majani na ubabe wake wote lkn kapoa binti yake anavyolelewa na kajala hovyo hovyo
Hajibu[emoji1787][emoji1787]
Hawezi kujibu sasa hivi vita bado mbichi...anamsukumia mtoto..
X anakaliwa kimya tu mpaka akili ina mkaa sawaKugombana na ex ni ushamba.....ex hajibiwi...kaushaaa