Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Af kibaya anaandika kwa herufi kubwa! Ila hawa wasanii sijui hawana watu wa kuwashauiri cha kuandika public! Tanzania msanii anayejua kubehave vizuri on social media ni Jux wengine wote matairaa tu!Ukweli ninkwamba siwezi kusomaga miandiko na hati ya harmonizer
Darasa la nne B...ndo mwandiko wao huoHuu mwandiko wa harmonize ndio ulifanya nimdharau hadi leo japo anazo ngoma kali.
Hahahahaba,kajala anawatepeli watoto ,mbn hatepeli wakulungwa wenzieHao wanaotapeliwa si wanataka wenyewe
Uyo mwenye komwe kushoto ndio nani?
Eti anavutia bangi matakoni! Pathetic kabisanyie huyu mtoto 😡😡😡 aibu naona mimi
Hata simjui mkuu labla wengine wakusaidie kumtambua.Uyo mwenye komwe kushoto ndio nani?
Leo ndio najua kumbe konde alimkula paula toka 2017 huko ina maana kipindi kile video zake zinavuja alikuwa anapasha kiporo[emoji51]