Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaaahh full kudhalilishwa yaani. Acha niendee bando siwezi pitwa na ubuyu.
Leo hupaswi kuishiwa bando kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaaahh full kudhalilishwa yaani. Acha niendee bando siwezi pitwa na ubuyu.
Hovyo sana...
Hapana anajibu da pau😁😁Hatariii.
Kajala anajibu na yeye?
Tena Sepenga anaweza kuwa na afadhali...Paula atakuwa km Sepenga life style yake inakoelekea
😁😁Huwezi elewa mkuuHv ni mm tu ndo sijaelewa hapa 🤔
Jamaa kama hakwenda shule au! mwandiko mchafu sana inasikitisha😳😳😳Huu mwandiko wa harmonize ndio ulifanya nimdharau hadi leo japo anazo ngoma kali.
Hapana anajibu da pau[emoji16][emoji16]View attachment 2713674
Star wa Bongo Flava, Harmonize amemchana aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na kumwambia aache kumzungumzia vibaya wakati bado anahangaika kutaka warudiane.View attachment 2713440View attachment 2713439
Tena Sepenga anaweza kuwa na afadhali...
Huyu anayefanya ujinga na Mama yake akishiriki kwenye huo ujinga si ni hatari kabisa Cute....
Sijui wanafanya makusudi au la! miandiko yao haifai hata kidogo inaumiza macho mpaka nafsiSio Harmonize pekee mwenye hili tatizo, zaidi ya asilimia 89 ya Wasanii wakibongo wenye Followers wengi mitandaoni wanatatizo la kuandika, sio Diamond ama Alikiba.
Ndiyo maana kuna wakati tulishauri hapa JF kwamba sio vibaya hawa jamaa wakaajiri Social and Content Managers walau wawe kama maAdmins kwenye accounts za mitandao yao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila sepenga nikimuangalia nacheka sana na chibaba wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo celebs wanatuongezea sana siku za kuishi
Mimi pia 👆Hv ni mm tu ndo sijaelewa hapa 🤔
Sikiliza ngoma achana na maisha yake unajikatili mwenyewe na burudani nzuri!Huu mwandiko wa harmonize ndio ulifanya nimdharau hadi leo japo anazo ngoma kali.
Kila nikiangalia Instagram sioni tena wachezaji naona screen shot za harmonenga najitahidi nielewe lakini waapi kila screen shot inaonesha kama inajitegemea na venye haielewek😁😁Huwezi elewa mkuu