Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Hatariii.
Kajala anajibu na yeye?
Hapana anajibu da pau😁😁
1BF78113-45E2-41FE-9715-24912DB2C999.jpeg
 
Sio Harmonize pekee mwenye hili tatizo, zaidi ya asilimia 89 ya Wasanii wakibongo wenye Followers wengi mitandaoni wanatatizo la kuandika, sio Diamond ama Alikiba.

Ndiyo maana kuna wakati tulishauri hapa JF kwamba sio vibaya hawa jamaa wakaajiri Social and Content Managers walau wawe kama maAdmins kwenye accounts za mitandao yao.
Sijui wanafanya makusudi au la! miandiko yao haifai hata kidogo inaumiza macho mpaka nafsi
 
Ila sepenga nikimuangalia nacheka sana na chibaba wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bongo celebs wanatuongezea sana siku za kuishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huwa hucheki kama mimi...
Ila wamedumu wenyewe...
 
😁😁Huwezi elewa mkuu
Kila nikiangalia Instagram sioni tena wachezaji naona screen shot za harmonenga najitahidi nielewe lakini waapi kila screen shot inaonesha kama inajitegemea na venye haielewek
 
Back
Top Bottom