Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Kajala kayataka wacha yamkute kulikuwa kuna ulazima gani katika kipindi chao kila week kumtaja konde[emoji16][emoji16]
Kabisa...
Kuna namna walizidi kumzoea Konde...

Kile kipindi chao chote ni kama wanamzungumzia Konde....Na yeye aliwakalia kimya tu... sasa kwa ile interview ya Kajala jana kumuita mwenzie Chizi Konde akaona isiwe shida....

But kwenye hili MARIOO ana la kujifunza.
 
Kumbe Paula anavuta bangi mkunduni hili ndio nimelijua leo aseee wee

Nuzulati
750CDD6E-A933-496B-96E1-34426472BA9C.jpeg
 
Kabisa...
Kuna namna walizidi kumzoea Konde...

Kile kipindi chao chote ni kama wanamzungumzia Konde....Na yeye aliwakalia kimya tu... sasa kwa ile interview ya Kajala jana kumuita mwenzie Chizi Konde akaona isiwe shida....

But kwenye hili MARIOO ana la kujifunza.
Wanajisifu yeye na mtoto wake wanapesa leo Hamo katoboa siri amewajengea wazazi wa kajala huko goba ila konde anajua kuhonga aisee😁😁
 
Mwenzie Zama analinda heshima yake ye na mtoto wake pesa mbele.
Wale ni Wajinga sana...

Yale malezi anayompa yule Binti yake sijui amejifunzia wapi... Imagine maisha Kajala aliyoishi,Jela alipopita,Bado anataka na Binti yake naye aje apite kule kule alikopita..

Nadhani ndiyo maana P-Funk aliamua kukaa kimya..
 
Back
Top Bottom