joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wamekutana pipa na mfuniko. Naona wanawapa faida wadaku na online media. Halafu kesho utamsikia hapendi kick.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Harmonize pekee mwenye hili tatizo, zaidi ya asilimia 89 ya Wasanii wakibongo wenye Followers wengi mitandaoni wanatatizo la kuandika, sio Diamond ama Alikiba.Huu mwandiko wa harmonize ndio ulifanya nimdharau hadi leo japo anazo ngoma kali.
Huyu mwandishi balaaStar wa Bongo Flava, Harmonize amemchana aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na kumwambia aache kumzungumzia vibaya wakati bado anahangaika kutaka warudiane.View attachment 2713440View attachment 2713439
Mhh mpaka leo konde hajui kuandika kiswahili tu. Kingereza itakuajeStar wa Bongo Flava, Harmonize amemchana aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na kumwambia aache kumzungumzia vibaya wakati bado anahangaika kutaka warudiane.View attachment 2713440View attachment 2713439
Katema nyongo unataka afe nayo hayo masumu mwiliniMbona km harmo ndiye anayeteseka sana, mtoto wa kiume muda unautoa wapi wa kushusha waraka mrefu hivi??
Hivi alimnunulia gari ngapi vile?Mjin watoto wa kiume wanachamba kuliko dada zao [emoji28][emoji28]
Katema nyongo unataka afe nayo hayo masumu mwilini
Kamchana hadi SIMU anayoitumia kainunua yeyeMjin watoto wa kiume wanachamba kuliko dada zao [emoji28][emoji28]
Watu wa rap hawaiti kuchamba wanaita kuchana nyinyi wa taarabu kule MakunduChi iteni kuchambawimaHapo anachambana hatemi nyongo
Sio upuuzi katema nyongo 😂Upuuzi mtupu[emoji706][emoji706]
So uitwe chizi unafurahi haya sasa ngoja nikuite wewe chizi utapendmwanaume kuanza kubishana na mwanamke mliye achana wala haina mana
Hajakusiki muite tena 'wewe CHIZI' 😆So uitwe chizi unafurahi haya sasa ngoja nikuite wewe chizi utapend
Watu wa rap hawaiti kuchamba wanaita kuchana nyinyi wa taarabu kule MakunduChi iteni kuchambawima