FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Kuna watu jau Sana basi tuVizuri[emoji4][emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu jau Sana basi tuVizuri[emoji4][emoji2960]
Kuna ile nyoyo zinatakana Ila mnajua mkikaa wawili hakuna litakaloenda.. Ndo issue yenyewe 😁😁😁Warudiane tu mpambano unoge zaidi
Shile inaumuhimu wake hata kama 7namili pesa kiasi gani elimu inasaidia kuficha kiwango chako cha ujinga..kwa mwandiko ule unajua anachangamoto ya ujinga lakn pia na ushamba unamzidi anashindwa kung'amua nini aongeee aandike na kuwasilisha vipi hajui kujenga hoja poor grammar anaongozwa.na mihemko tuHuu mwandiko wa harmonize ndio ulifanya nimdharau hadi leo japo anazo ngoma kali.
KabisaKina dada tuepuke kudate wanaume washambaa,watatukausha uzazi🙆🙆🙆Sio Kwa nyaraka hizo za hamani
Mbona sepenga mkuuPaula atakuwa km Sepenga life style yake inakoelekea
Yeah na zinavyotrend ndio mafanikio. Watu wanadhani harmonize au kajala hawajui kuwa wanachokifanya ni kibaya wakati wenyewe wanafanya biashara ziendeKwa sababu wabongo upenda hizi mambo so kwao ni biashara
Zamaradi tv, huwa nakutana na highlights zake kwenye social media. Kiufupi kama keeping up with Kardashians nilishindwa kuangalia, hii ambayo hata script zake hazijasukwa fresh siwezi kuangalia unless nipatane nayo kwenye mazingira ambayo siwezi kuepuka kuangaliaHuyo maza ana reality show? Channel gani?
konde mshambaaa sana...Kugombana na ex ni ushamba.....ex hajibiwi...kaushaaa
We mwenyewe muandiko wako unatia mashakaShile inaumuhimu wake hata kama 7namili pesa kiasi gani elimu inasaidia kuficha kiwango chako cha ujinga..kwa mwandiko ule unajua anachangamoto ya ujinga lakn pia na ushamba unamzidi anashindwa kung'amua nini aongeee aandike na kuwasilisha vipi hajui kujenga hoja poor grammar anaongozwa.na mihemko tu
Mbona sepenga mkuu
ACHA UPUMBAVU WE DOGOMimi nilishajiapia kamwe sitokaa nisome maneno yaliyoandikwa kea herufi kubwa, Yaani huwa nahisi Kama mwandishi ananifokea na kunilizamisha nisome alichokiandika.
Kweli inauma lakini kiume inatakiwa avunge tu mwanamtu kahonga gari na bado wanamwita chizi lazima imuume
Akikujibu ntag😅ACHA UPUMBAVU WE DOGO