Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
Muunge peke yako hatumtaki kalale bhanaHello fellas
Kwa wanaofuatilia kinachofanyika leo Tandahimba
Naona Jeshiiii kaamua kulipa sasa, kijana naona
Anaanza kutisha maana kaanza kwa vitisho.
Nimeona imetolewa kafara na kufanyiwa tambiko
Live.
Naona nyomi si haba kwa kweli .
Kila NTU AVE NA KWAO.
I like this guy, anajituma tumuunge Mkono, tukiwa
Na wasanii wengi wa sampuli hii ya jeshi na bin
Laden naona sanaa yetu Ikifika mbali.
Jeshiii kaamua kuweka kiingilio elfu kumi ili
Akasaidie hospital mtwara , Mondi wote tunajua
Kiuchumi si haba so kuweka show bure kwake ni sahihi na ni utashi wake kwa kuwa anasherehekea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anasota huko matopeni akiimba maraika mlikuwa hamna time nae hata kumuona mlikuwa hataki, leo simba kamlea na kumfikisha hapo mshaanza kelele hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Humtaki na nani? So far msanii aliyefanye vizuri last and this year ni Jeshii, tumuunge Mkono kijana. Roho mbaya haijengi wala haikusadii
Muonekane wa kipekee, ni utambulisho wakeIla sijui nani alimshaurigi kusuka na kuweka rangi hiyo kwenye nywele.
Mwanzo alikuwaga na muonekano poa sana.
Amchukue na LeMutuz amlee awe kama HarmonizeWakati anasota huko matopeni akiimba maraika mlikuwa hamna time nae hata kumuona mlikuwa hataki, leo simba kamlea na kumfikisha hapo mshaanza kelele hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inanifanya niamini duniani kuna unafiki mkubwa sana.. unakuta kuna wadau wanamsifia kapendeza na hayo madude kichwani... ni sawa na rayvanny sijui walio karibu nao hawawaambiiIla sijui nani alimshaurigi kusuka na kuweka rangi hiyo kwenye nywele.
Mwanzo alikuwaga na muonekano poa sana.
aliyofanya vizuri Sana ni mondi wa pili ndio huyo harmonize watatu Rayvanny wanne Nandy.Humtaki na nani? So far msanii aliyefanye vizuri last and this year ni Jeshii, tumuunge Mkono kijana. Roho mbaya haijengi wala haikusadii
Sent using Jamii Forums mobile app