Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
Hello fellas
Kwa wanaofuatilia kinachofanyika leo Tandahimba
Naona Jeshiiii kaamua kulipa sasa, kijana naona
Anaanza kutisha maana kaanza kwa vitisho.
Nimeona imetolewa kafara na kufanyiwa tambiko
Live.
Naona nyomi si haba kwa kweli .
Kila NTU AVE NA KWAO.
I like this guy, anajituma tumuunge Mkono, tukiwa
Na wasanii wengi wa sampuli hii ya jeshi na bin
Laden naona sanaa yetu Ikifika mbali.
Jeshiii kaamua kuweka kiingilio elfu kumi ili
Akasaidie hospital mtwara , Mondi wote tunajua
Kiuchumi si haba so kuweka show bure kwake ni sahihi na ni utashi wake kwa kuwa anasherehekea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wanaofuatilia kinachofanyika leo Tandahimba
Naona Jeshiiii kaamua kulipa sasa, kijana naona
Anaanza kutisha maana kaanza kwa vitisho.
Nimeona imetolewa kafara na kufanyiwa tambiko
Live.
Naona nyomi si haba kwa kweli .
Kila NTU AVE NA KWAO.
I like this guy, anajituma tumuunge Mkono, tukiwa
Na wasanii wengi wa sampuli hii ya jeshi na bin
Laden naona sanaa yetu Ikifika mbali.
Jeshiii kaamua kuweka kiingilio elfu kumi ili
Akasaidie hospital mtwara , Mondi wote tunajua
Kiuchumi si haba so kuweka show bure kwake ni sahihi na ni utashi wake kwa kuwa anasherehekea.
Sent using Jamii Forums mobile app