Harmonize: Natamani kwenda Marekani na Rais Samia

Huyu mvuta bangi akikamatwa na hayo madawa ya kulevya marekani autie kashfa msafara wa Rais, shenzi sana
 


Ameshafanya mazoea eeh ?!
 
Mama sisi wabeba box hatuhitaji maradhi wala gharama za kurudi.

sisi tukinyanyuka tu na dilimulaina tukitua pale Washington tukiacha tu mlango wa airport tunapotea hatuhitaji tena gharama zako.
 
Nchi za wwnye akili timamu wasanii husaidia kukomboa nchi zao kutoka kwenye ufukara, ila nchi yangu wasanii hukisaidia chama tawala kutawala na kueneza ufukara.
Ndivyo watanzania wengi walivyo. Hata akiwa msanii au hata rais wa nchi haiondoi huo uhalisia.
 
Ngoja tusubiri subiri itafikia na sisi zamu yetu ya members wa JF kwenda na maza huko kula bata.
 
Huko Marekani anakwenda kuuza korosho au kuwakilisha nchi?
 
Haya ndio matokeo ya kushinda unazurura huku na huko duniani kufanya udalali wa maliasili za nchi ukiwa umeongozana na kundi kubwa ng'ombe! Sasa kila ng'ombe anataka kwenda huko maana wameshaona hizo ziara ni fursa tu za kula.
 
Eti Mh. Hamonize?!

Bwashee endelea kugawa vyeo kama njugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…