Harmonize ni mnafiki sana

Harmonize ni mnafiki sana

Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.


He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.
Inaonyesha hili jamaa [emoji115] ni punga
 
Mbona Diamond ilifikia hatua akaachana na show za clouds licha ya kupewa support kubwa?,iweje kwa Konde boy iwe unafiki? Konde boy anatakiwa akapige goti clouds la sivyo atapotea kweli cz jamaa mziki wake hauna mizizi Bali mziki wake ulitegemea nguvu ya Diamond.
 
Kasahaulika ee...?! Konde boy [emoji4] , nakapenda(ga) tu kale kasauti.
 
Uwamuzi wa harmonize ni wake binafsi. kama alivyoamua kujiunga wcb na ndivyo alivyoamua kujiondoa wcb. Binafsi daima nampongeza mwenye uthubutu na sio tegemezi kama mtoa hoja.
 
HUYU dogo alifanya vishoo hapo mtwara akajaza watu, akajua tz nzima inamkubali, kumbe na wala panya wenzie tu...

akipanda stejini anaongea kilugha tu ... mamamame ataisoma namba
 
HUYU dogo alifanya vishoo hapo mtwara akajaza watu, akajua tz nzima inamkubali, kumbe na wala panya wenzie tu...

akipanda stejini anaongea kilugha tu ... mamamame ataisoma namba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.


He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.

Wanaume wa dar kwenye ubora wao
 
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.

Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.

Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .

Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.


Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.


He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.

WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.

Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.
We ndo boya la karne sasa. Sijui unasaport WCB ipi maana sisi mashabiki wa WCB bado tunamsapot kondeboy kwa kuwa hajatoka kwa mabaya na hajatangaza kashfa yoyote kwa WCB. Nyie mashabiki fake.

On top of that Harmonize anafanya vizuri sana. Hii nhoma yake mpya na Edy Kenzo ni bonge la hit na angalia views zake, na ipo kwenye trending! Takozo bouyer wewe
 
Mwanaume macho kwenye noti hakikisha dili ni halali na pesa ni safi mengine achana nayo,,,,big up kwa konde boy kama huko kunalipa kaza buti riziki mafungu buku na yake ipo tu
 
Back
Top Bottom