Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Katika wasanii wa Tanzania wanaoongoza kwa unafiki basi Harmonize ni namba moja.
Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.
Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .
Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.
Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.
He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.
WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.
Jamaa ni mnafiki sana yani anajaribu kutafuta huruma ya wananchi kujifanya yeye ni mwema na kutengeneza picha mbaya kwa wenzake waonekane kama wana roho mbaya na wabinafsi.
Tangu ajitoe WCB ,watu hawana habari naye na taratibu ameshaanza kusahaulika japo hajafikisha hata mwezi jambo ambalo linamuumiza sana roho .
Miongoni mwa vitu vinavyomuumiza roho ni kitendo cha sasa hivi kufyatua fyatua nyimbo kila kukicha lakini mapokezi yamekuwa finyu sana hata zile views zimepungua kwa kasi sana.
Jamaa anatoa nyimbo ila wenzake hawamsapoti wamemuacha apambane na hali yake, sasa anajifanya ni mwema sana kwa ku repost nyimbo za wenzake ili aonekane hana kinyongo licha ya kutosapotiwa.
He he he he na bado lazima anyooke mwaka huu, hiyo ni trela tu picha halisi bado.
WCB ni kama maji usipoyanywa utayaoga.
Kitendo cha yeye kujitenga kwenye show ya wasafi na kupanda private transport ni dharau ya hali ya juu,pia kitendo cha kutoshiriki wasafi festival licha ya kushikwa mkono mpaka kufika alipofika ni ukosefu wa nidhamu sasa acha avune alichokipanda.