Harmonize ni msanii aliyekosa ‘Focus’

Kapost lini picha ya mond mkuu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
alimroga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Konde boy ka fail saana..yeye mwenyewe kujisimamia kashindwa ataweza vp kusimamia Msanii
 
Na ile Rap ya Mond kule mkoani ya "....sijui nini nini nimesalitiwa na Jeshi wakashindwa kunipindua...!! Unaielezeaje? Vipi kuhusu kauli ya Sallam SK ndani ya Block 89 akijibu swali kuhusu kutoonekana Harmonize WASAFI akajibu kuwa Hamornize kwasasa (wakati huo) yupo wasafi kimaandishi tu ila moyo wake haupo wasafi, na kwamba ameandika barua ya kuterminate mkataba kinachosubiriwa maamuzi tu ya uongozi. Akaongeza kuwa Harmonize amewasapraizi wasafi kwa matukio mengi tu nje ya uongozi kujua ikiwemo kumpandisha msanii kwenye jukwa la wasafi festival bila ridhaa ya uongozi. Haya matukio yote mbona kama yanapingana na maelezo yako hayo mkuu..??
 


kwenye freestyle nikki mbishi ya straight outa gamboshi dakika ya 1.18 anasema" ngoma nagwa Mchomeeni boma jaguar ,vigeugeu hawa SIMBA ndio anawakanyaga"

..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…