Harmonize ni msanii aliyekosa ‘Focus’

Harmonize nyimbo ya wife,fall in love,nakupenda malaika..ni nyimbo nzuri sana mbona lakini hujazitolea video au kweli ulikua umekopi??
 
Harmonize nyimbo ya wife,fall in love,nakupenda malaika..ni nyimbo nzuri sana mbona lakini hujazitolea video au kweli ulikua umekopi??
Wife hajacopy ila fall in love na malaika ndo kacopy kiufupi album yake kawekeza kwenye ngoma ya bedroom naona hizo zingine kapotezea.
 
Harmonize nyimbo ya wife,fall in love,nakupenda malaika..ni nyimbo nzuri sana mbona lakini hujazitolea video au kweli ulikua umekopi??
Kasema ana video 14 za album yake na tarehe 27 mwezi wa sita ana show uwanja wa Uhuru na karibia wasanii wote aliowashirikisha watakuwepo.

Ngoja tusubiri.
 
How awe local milele?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niaje msela mbona unanikera
Amapiano hit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…