Harmonize ni msanii aliyekosa ‘Focus’

Harmonize ni msanii aliyekosa ‘Focus’

dogo tafuta hela achana na harmonize, kumpenda kwako diamond na kumchukia harmonize hakiusaidii chochote kipesa...tafuta hela kijana..huyu unayemfungulia thread majuzi kachukua pesa nyingi sana huko CRDB na ndio balozi wao..sasa wewe endelea kupoteza muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dogo tafuta hela achana na harmonize, kumpenda kwako diamond na kumchukia harmonize hakiusaidii chochote kipesa...tafuta hela kijana..huyu unayemfungulia thread majuzi kachukua pesa nyingi sana huko CRDB na ndio balozi wao..sasa wewe endelea kupoteza muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo chuki iko wapi? au unacomment imradi uonekane na wewe umecomment
 
Harmonize Ni msanii mzuri aliyekosa focus ajui kipi Cha kusimamia na kipi cha kusimamia leo atakuja na hili kesho yake atakuja na lingine ataacha la mwanzo.Alivyotoka wasafi alianzisha bus la mgahawa wakutoa chakula bure lakini imeishia njiani sasa sijajua alikuwa ana Nia ya dhati au alikuwa ana tafuta public sympathy ili apate mashabiki baada ya kupoteza mashabiki wengi wa WCB?

Mwaka Huu kamtambulisha msanii wake ibra kwenye label yake ya konde gang baada tu ibra kutambulisha wimbo mpya muda mfupi harmonize katoa bedroom remix ajampa kabisa airtime ya msanii wake kusikilizwa hii imesababisha bedroom remix kufeli na at the same time msanii wake kufeli.

Me nazani Harmonize angefocus kujiinua binafsi kuliko kuanzisha label ajafika kabisa level ya kuanzisha label asimilia kubwa wasanii wanaoanzisha label Ni wale ambao wamefanya vizuri Sana na wameacha legacy ya mziki mondi kaanzisha label ya WCB ikiwa teyali amefanya mambo makubwa bongo na yupo on top amekuwa top 4 ya wasanii wanaofanya vizuri Africa alishatengeneza connection muda mrefu na ametengeneza mashabiki wengi wengi kwenye mziki na wafuasi, angalia Don jazzy na label yake ya Marvin Ni msanii ambaye alishatengeneza fan base kubwa Africa lakini pia ana respect ya mziki wake.

Level aliyeitengeneza akiwa WCB tofauti na level aliyopo sasa, sasa hiv Harmonize kufikisha tu viewers mil 1 Ni ngumu sawa na mlevi kuona uzima wa milele ukiangalia tu kupata show za nje imekuwa tabu kupata tofauti na alipokuwa wasafi ukiangalia pia kwenye mauzo ya digital amekuwa Ni msanii wa tatu akiachwa nyuma na Rayvanny wakati alivyokuwa wasafi akitoka diamond msanii anayepata mauzo mengi ya digital Ni Harmonize ukiangalia hivyo unaona kabisa kwanini asifocus kujiinua zaidi kuliko kufocus na mambo ambayo yapo juu ya uwezo wake.

Jana nimeshangaa anataka kumrudisha eti Rich mavoko wakati qchilla kashindwa kumrudisha na hapo hapo anataka ibra aende mjini na nimeshangazwa pia na namna alivyoandika kuhusu rich mavoko kaandika as if rich anafanyiwa figisu na yeye Ni mwema hivi Hawa Nani aliwadaganya kutafuta public sympathy ndio njia ya kupata mashabiki royal? kwanini usifanye mziki mzuri hao mashabiki watakuja tu automatically kuliko hiyo njia.

NB: kondeboy focus kwenye kujijenga na kupata mashabiki wako royal kuliko kurukia rukia mambo na kutafuta kiki ambazo hazina maana unapoteza hela za Sara na za kwako bure.
Umeongea point kubwa. Uko sahihi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna watu bado wanafuatilia upuuzi wa bongo flavour?
Hivi kuna msanii wa bongo flavour anaweza kutoboa kipindi hiki? Thubutu.
 
Umeongea kitu kikubwa sana mkuu. Mimi nilijua mpaka kufikia kujiondoa wasafi,nikajua tayari ameshajenga connection kubwa kuzunguka Africa kipindi anaenda nenda nje kufanya show?. Kumbe alijiengue kwa kujidanganya na zile show alizokuwa anainuliwa na management ya WCB?. Kikubwa arudi nyuma ajiinue kwanza yeye sana awe mkubwa sana. Asifuate kushindana na leble alikotoka. Vinginevyo hizo hela za Sara anazoringia zitakata siku. Ninachokijua Hamo ni bonge moja la msanii,bonge moja la mtunzi mjanja. Ila toka atoke wasafi ni kama amepanick

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani akitambulishwa msanii mpya na label flani msanii mwingine wa hiyo label anapaswa kusitisha shuhuli zake??
Yani Harmonize asitishe kupush album yake kwasababu Ibarh katoa EP yake???

innocent dependent Konde Music World wide ni ofisi na ina wasanii wawili na kila msanii ana budget yake na project zake ambazo hazina mahusiano na mwenzake as kila mmoja ana account zake.
Hutajakataa huoni kama msanii wake ibrah bado ni chpkizi... Harmonize kamtoa ibra wakati huo album yake haina hata miezi 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo apa ni bedroom mdundo wake ukiwa kwa gari au kwa bed its self jojo inakaa mbali sana inaonekana ya kitoto tofautina hii bedroom
 
Watu wanaabudu watu.

Domo kawa mungu.

Magufuli kawa mungu.

Mbowe kawa mungu.

AliKiba kawa mungu.
 
walomjaza upepo kua yeye ni zaidi ya mondi ndo walimdanganya so now amebaki kuhaha tu kuwaprove watu kua anaweza bt hali si shwari

kama mnafuatilia hivi karibuni amekua akipost picha za mond kutaka huruma bt mchezo aliukosea mwanzo kitu ambacho kitamgharimu daily

mtu unalazimisha kushindana na mtu ambae views wake wa youtube pekee kwa mwaka unalazimika kuchukua views wa wasanii wote bongo ndo mumkaribie hapo ndo utajua kua kukurupuka nacho kipaji.

nb: kupotea hawezi bt atabaki kua msanii local daima
 
Back
Top Bottom