Profile picture yako inazingua knm man.Ukimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.
Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
π€£π€£π€£π€£π€£Profile picture yako inazingua knm man.
Una hasira as if ni mke wa harmonizeUzi mzima unajibu reply za kila mtu
Uchawa wako kwa wcb kila mtu anajua ndio wanakupa bando.
Unamlazimisha mtoa mada awe chawa wa wasafi kama wewe si katoa maoni yake?
Utakuja kuolewa Dogo
Naona unatabasamu mke wa chibu dangoteeUna hasira as if ni mke wa harmonize
Show yake aliyofanya marekani imebuma Tena ni club kwa style hii atamkimbiza Nani? hadi mwezi Huu tumefika kafanya show moja tu Tena ni hiyoMleta mada upo sahihi Ukweli lazima usemwe kwa kweli huyu jamaa wazipokuwa makini anaweza wapoteza .
Msanii gani wa bongo alifanya shoo hapo marekani ikaheatShow yake aliyofanya marekani imebuma Tena ni club kwa style hii atamkimbiza Nani? hadi mwezi Huu tumefika kafanya show moja tu Tena ni hiyo
Wewe ufuatilii mziki ni Diamond mwaka Jana na mwaka Huu pia ana show usa nenda kaangalie atachofanya uwezi kufananisha na Huu upuuzi wa harmonize hata club anashindwa kujaza?Msanii gani wa bongo alifanya shoo hapo marekani ikaheat
Wale wale tu pipa na mfuniko
Shida ya harmo ni kutaka kujionesha ni zaidi ya MondShow yake aliyofanya marekani imebuma Tena ni club kwa style hii atamkimbiza Nani? hadi mwezi Huu tumefika kafanya show moja tu Tena ni hiyo
Kitu ambacho hata 20% ya Sadala hajaifikia.Shida ya harmo ni kutaka kujionesha ni zaidi ya Mond
Blah blahs kila mtu anaweza kuongea chake though unaweza kuwa right lakini hiyo si sampling sahihi, ingia kwenye streamings uone nyimbo gani zinabamba zaidi, huyo Harmo hata kwa Rayvanny anabaki nyuma sasa kumuweka Sadala kwenye hizo levels ni kichekesho sana.Mimi sitaki kuwalinganisha Ila ukweli niliojionea mwenyewe kwa sehemu mbali mbali hasa hili hili jiji la dar kuanzia kwenye library za uswaz ,clubs mbal mbal na majumbani mziki unaotrend kwasasa ni wa KONDE Hilo halina ubishi hasa hizi nyimbo zake tatu za amapiano ni msala .
Saiz nipo hapa dar kwa siku kadhaa maana mm ni mwanaume wa mkoani hivyo nakujaga dar kuwasalimia Wala mahindi kwa ndimu[emoji23][emoji23] sasa Kuna jiran yangu hapa Ana sabufa yake yaan asubuh had jion wimbo unaopigwa ni ule wa teacher KONDE yaan had kero
Mauzo ya nyimbo kazidiwa hadi na Zuchu ambaye kaja kwenye mziki ana mwaka tu kwenye platform zote kama spotify n.k kwa style hiyo atampoteza Nani? Show zenyewe anazofanya zinabuma mashabiki wanaingia wachache mfano mzuri ni hiyo aliyofanya USA Tena kafanyia club alafu kashindwa kujaza hapo kuna msanii kweli Wakumtisha Diamond ? Tuzo zenyewe tu kuwa nominees ni tabu kwake achilia tu kupataMleta mada upo sahihi Ukweli lazima usemwe kwa kweli huyu jamaa wazipokuwa makini anaweza wapoteza .
Wakina Dangote hawaimbi asaivi.Wako bize na madem zao[emoji1787]Mleta mada upo sahihi Ukweli lazima usemwe kwa kweli huyu jamaa wazipokuwa makini anaweza wapoteza .
Digital platform bro some time zina tengenezwa.Blah blahs kila mtu anaweza kuongea chake though unaweza kuwa right lakini hiyo si sampling sahihi, ingia kwenye streamings uone nyimbo gani zinabamba zaidi, huyo Harmo hata kwa Rayvanny anabaki nyuma sasa kumuweka Sadala kwenye hizo levels ni kichekesho sana.
Facts huwa zinajieleza, Diamond nyimbo yoyote atakayotoa lazima iongoze kwa Tz na Kenya just check the records hata wimbo aliotoa recently. Huyo dogo bado sana aendelee tu kushandana na wa level zake, hebu angalia digital platforms ili ubishani wa kijinga wa vijiweni usio na hard facts uishe kistaarabu.
Digital platforms zinatengenezwa how.....?Digital platform bro some time zina tengenezwa.
Sa kama mwamba anaweza ongeza ama punguza Viewers katika hizo hizo Platform digital basi hata huko kwenye streamings anaweza akawachezeshea vile vile ndombolo ya solo[emoji1787]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app