Blah blahs kila mtu anaweza kuongea chake though unaweza kuwa right lakini hiyo si sampling sahihi, ingia kwenye streamings uone nyimbo gani zinabamba zaidi, huyo Harmo hata kwa Rayvanny anabaki nyuma sasa kumuweka Sadala kwenye hizo levels ni kichekesho sana.
Facts huwa zinajieleza, Diamond nyimbo yoyote atakayotoa lazima iongoze kwa Tz na Kenya just check the records hata wimbo aliotoa recently. Huyo dogo bado sana aendelee tu kushandana na wa level zake, hebu angalia digital platforms ili ubishani wa kijinga wa vijiweni usio na hard facts uishe kistaarabu.