Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi mwenyewe nashangaaAnamkimbiza nani?
Ha ha haMnatumia nguvu vizuri vinaonekana mziache number ziongee,si alikuwa na tour (Konde in da club) kwenye hizo hizo sehemu za starehe karibia mikoa 18 kafanya mkoa mmoja halafu kimya,sasa hivi anazalilika US.
Mamserenger najua unajaribu kumpamba Harmo! Ni haki yako kabisa..lakini fanya hivyo bila kumlinganisha na Mondi..! Mondi ni above next level kwa Harmo. Hivi uliona wapi sikio likazidi kichwa?Harmonise kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.
Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.
Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki
Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.
Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.
Harmo kwasasa Nyota nzuriii.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
AbsolutelyMamserenger najua unajaribu kumpamba Harmo! Ni haki yako kabisa..lakini fanya hivyo bila kumlinganisha na Mondi..! Mondi ni above next level kwa Harmo. Hivi uliona wapi sikio likazidi kichwa?
Tengeneza top ten kabisa ambayo tutaanza nayoUkimtaja harmonize tafadhari sana usimlinganishe na WCB. Tafuta mtu wa size yake. Diamond ni level nyingine kabisa.
Yani natamani nikifa, kwenye msiba wapige ngoma za MOND tu maana ntapumzika nikiwa nimeburudika sana au hata kufufuka inawezekana.
Ukiyasikiliza haya mahojiano, unamwona mleta uzi kuwa ni hamnazoAnamkimbiza nani?
Anakimbiza kivuli chake...Anamkimbiza nani?
Kabisashow za america kadhalilika hadi kaamua kusitisha, huyu dogo anakimbiza upande wa sifa tu bt kila kona namba zinamkataa hata kwa rayvany hasogei.
Mamserenger harmonize aliacha mbaraka pale WCB akaondoka na KIVIMA yaan ilibid aagwe na uongoz na apewe mkono wa hero na crew ya wasafi... Hata Ile siku anazingua albam yake pale mcity.ilibidi awaalike WALE WA CLEAN.sasa yeye anataka ajiungishe YEYE MWENYEWE kwenye indastri ya muziki...litabaki jina tuHarmonise kweli anakimbiza sanaaa hasa ukitembea kumbi nyingi za Starehe ngoma zake ndo zina bamba sanaaa.
Hata Kajalee naona kama anamuwaza dogo sana hasa na Post zake kule Inst.Na hisi kwa jinsi anavyo kubalika.
Anangoma zikigongaa hatarii na jamaa hana shobo japo watz wengi wanaaminishwa bila WCB basi haujui...mziki
Kweli Diamond amesaulika sana kwa kweli.
Bila kuleta timu Mondi ama Tim Harmo.
Harmo kwasasa Nyota nzuriii.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mshana unasema kweliMamserenger najua unajaribu kumpamba Harmo! Ni haki yako kabisa..lakini fanya hivyo bila kumlinganisha na Mondi..! Mondi ni above next level kwa Harmo. Hivi uliona wapi sikio likazidi kichwa?
Watu wana ubishi tuu ...Mimi sitaki kuwalinganisha Ila ukweli niliojionea mwenyewe kwa sehemu mbali mbali hasa hili hili jiji la dar kuanzia kwenye library za uswaz ,clubs mbal mbal na majumbani mziki unaotrend kwasasa ni wa KONDE Hilo halina ubishi hasa hizi nyimbo zake tatu za amapiano ni msala .
Saiz nipo hapa dar kwa siku kadhaa maana mm ni mwanaume wa mkoani hivyo nakujaga dar kuwasalimia Wala mahindi kwa ndimu[emoji23][emoji23] sasa Kuna jiran yangu hapa Ana sabufa yake yaan asubuh had jion wimbo unaopigwa ni ule wa teacher KONDE yaan had kero
Uzi mzima unajibu reply za kila mtuKabisa
Huyo nae ni Team ile ile haangalii uhalisia,nyuzi zake kumponda harmo pasipo na sababu ya maana tunazo.Mshana unasema kweli
Ila sijampambanisha na Mond ila kwa sasa Ngoma zake zina heat sanaa kumbi nyingi za Starehee.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ila hii nchi ngumu sana,mtu anayeandika "hakiba" ndio anaweza kufanya analysis akaja na hitimisho matata kabisa.☺Ni sawaa ila hata ukiweka hakiba basi iwe nzuri ya kiakili na kiafya yako
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nami narudia, KUPENDA NI UPOFU. Unalazimisha mpaka inaonekana kituko though you're entitled to your opinion, ni mtazamo wako na hakuna mwenyewe haki ya kukuingilia ila bado sana tena sana yaani.
Anafurahisha nafsi yake, muacheni kama inasaidia kumfariji.Kwa akili yako fupi utataka kumfananisha diamond na vijana wa ovyo kama harmonize