Kabisa yaani sema ndo hvyo mdogo mdogo atafika alipoandikiwa na MunguKuna baadhi ya ngoma kama angefanya akiwa wasafi zingekuwa nyimbo za taifa.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TZ vichaa wengi nakuambia na hivi bando zimepanda bei!acha turopoke!Yan mm na shiandwa kuelewa watu wa jamuhuri hii. Sidhan kama vidoes wameangalia kwa kwel. Kuna comment zingine unasoma unakna kabixa huuyu mwezi ni mchanga
Haelewi mahaba yamemjaa huyoo!We hivi unajua au unaelewa comments zangu au U timu umekuchanganya ubongo Tanzania hii hakuna msanii anayefanya vizuri wote ndio walewale mziki biashara na Fitna
Again, acha kushobokea watu kwa sababu sio kila mtu ni msafisha mitaro ya frustrated fags!Usinishobokee kwasababu mimi ni mwanamume hasa kutoka MARA ninayekula UDAGA, nitakupasua puru mpaka utawasahau mabasha wanaokugusa gusa.
Wanaumia kuona anapata hata view 1m kwa siku kadhaa bado anatrend kimpango wake!wao walitaka apotee kabisaa yaani awe hana mbele wala nyuma.Mondi kamnunulia mpaka ndinga Baba Level ili amdiss Konde ila watu bado wanamsakama dogo [emoji3]
Exactly haikua fadhila ila ni biashara nshakulipa sepaa....!!tusijuane juane tena!wanaumia kuona anadevelop japo kidogokidogo!Kingine wanashangaza kusema dogo arudishe fadhila kalipa milioni 500 hiyo sio fadhila tosha? Maana wao kama wanasema walimsaidia basi wangemwacha aende bure kuwa tulikusaidia na huo ndio msaada hutaki chochote in return, ila kumlipisha ule sio msaada, na hiyo fadhila kalipa na amerudisha ila bado wanakunja tu [emoji3]
Hakulia lia wapi?!!si alikua anatumia chawa wake kina tale tale waongee!!!Diamond alivyoachana na Clouds,waliacha kupiga nyimbo za WCB walifanya kila Njia kumshusha Diamond
Na Sijawahi kumuona Diamond akilialia kama anavyofanya Harmonize
Bali aliwekeza Nguvu na Akili kwenye kufanya kazi Na kutengeneza Fanbase yake
Harmonize yeye anashindwa nn?
Narudia, nitakupasua Kwa kifiro ambacho hutakuja kusahauAgain, acha kushobokea watu kwa sababu sio kila mtu ni msafisha mitaro ya frustrated fags!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji126][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16]!!!daahhHivi mkuu kwenu Mara au Ukerewe?
Unaonekana kama mtu fulani limbukeni, msukule na mpumbavu kama walivyo mashabiki wa Domo.
Nakumbuka miaka michache iliyoputa ulivyokuwa na THREAD yako maalum humu ya mashabiki wa Alikiba.
Au umezeeka ubongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wit ujue akili huna wewee!!umenchekesha sana ujue[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]!!!kaahhNimemsikiliza tena Harmo sasa hivi tena kwa utulivu maana jana nilikuwa kwenye makelele!
Asee nimefuta mpaka comment yangu[emoji849][emoji849]
Domo hafai
Kwa aliyofanyiwa he is correctMi nawaambia Kila siku wamakonde sio wa kuwasaidia!!!!
Man!naaaa
Mond bado ni mdogo katika nyanja ipi ukimlinganisha na Harmonize?kwenye interview sijaona akijilinganisha na mondi zaidi kasema yeye kwa mondi bado mdogo.
alikuwa anaeleza jinsi alivyofanyiwa fitna hadi akaamua kuondoka wcb
Madale wapo uchi, harmo kapaa sana baada ya kufunguka etiee?😂kubali tu hujatazama hii interview au unakwepa kukubali ukweli dogo kafunguka ya ndani madale wapo uchi.
Kwahiyo keshamshinda kimuziki?au anaongea aonekane anaongea badala ya kufanya mziki yeye anafanya majungu,sawa umelipa 600m si ulikua unamkataba nao..tuambie hao wasanii wako ambao hawaeleweki wanafanya nini mkataba wao wewe unachukua kiasi gani
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na watu kuwa dhana ya kwamba yeye ni msaliti. Amesema alifanyiwa fitna nyingi zilizopelekea yeye kuondoka kwenye record label hiyo.
Amesema management nzima ya WCB walikuwa wanamuogopa yeye (Harmonize) kwamba anaelekea kumshinda Diamond Platnumz kimuziki, amenongezea pia baba yake Harmonize alivyokuwa akija kumtembelea nyumbani WCB walikuwa wanasema kwamba alikuwa anakwenda kumroga Diamond.
Harmonize ameongezea pia alikwenda Nigeria kwa gharama zake kufanya collabo na Reekado Banks nchini Nigeria na akakatwa dola 5000 na WCB. Alipoona fitna zimezidi alijaribu kutafuta amani lakini ilishindikana, amesema mkataba wake na WCB alishauriwa na Joseph Kusaga kwamba akitafuta mwanasheria asingelipa chochote lakini hakutaka kupambana kwa njia hiyo na akaamua kulipa hela tu (Milioni 600) ili tu kupata amani.
Akili kubwaHuyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Najua teacher umeicheza Sana BarMilioni 600 Nyingi sawa [emoji23] Ushatoa Hiyo Hela Tia Ngoma Kali Basi
Mbona kila siku unawaongelea WCB [emoji28]
Unateseka ukiwa wapi...mmanyema wewe?!Mi nawaambia Kila siku wamakonde sio wa kuwasaidia!!!!
Man!naaaa
Anawatuma mama akoH Baba, Mwijaku, Carrymastory, hawa kazi yao kila siku ni kumtukana Diamond na wanatumwa na nani?
Au ndo nyani haoni kundule