Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize hana uwezo wa kufikia viwango vya Rayvanny, hana uwezo huo hata chembe.
 
Kumbuka biashara ya mziki bongo si swa na mbele huko useme kwamba unamtoa msanii unasain nae mkataba kwa idadi za ngoma ww unafikir atatoa ngoma ngap mpaka aende mjin?!
 
 
Ndio lakini jamaa sio humble kabisa, yaani mpaka leo bado anampiga madongo mental wake! I really don't understand it
Wanajuana wale kama mpaka diamond pamoja na yote akasema anataka akutane na wanawe wote ila aLimlenga konde
 
Pamoja na yote ila konde anajua na mpaka sasa top artist wa Tz ni yeye na mondi na kwa mtazamo wangu bifu na mondi ndo limemfanya kuwa hapo leo maana vanny boy aliyetoka kwa amani nyota ishafifia
 
 
 
 
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…