Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

Amekuuliza hilo swali makusudi maana unaongea bila kufikiri....Hivi hakuona hivyo vipengele wakati ana saini?
wewe uliviona kama vilikuwepo? malalamiko kwenye kuvunja mkataba huwa hayaishi na watu huwa wanakuwa na sababu zao za msingi bro so sitakuelewa unaniambia nini hadi unithibitishie kwamba ulikuwepo na ukaviona otherwise ww ni mwamba ngoma unavutia kwako
 
Nielekeze na mimi nka chukue ya mkopo..kitaani wajue cash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wabongo mna jua kuandika
Una taarifa zile V8 mbili za zawadi jamaa kachukua kwa mkopo na siyo cash ila huku mtaani watu wanajua jamaa katoa cash zaidi ya 400
 
Muwe na vichwa vya kuelewa.. Kasema Mil 500 na gharama ya kila nyimbo aliyotengeneza akiwa wasafi.. Which means inaweza kufika bil 1.. Maana nyimbo za wasafi ikiwa cheap ni dola 15.000
 
Suala la kuwekeza pesa ni akili ya mtu.

Pia kumbuka hata hizo nyumba zimetokana na jasho la wasafi.
 
Hii nchi kila kitu ninmipasho,akitoka mbunge chama A kwenda B ni manenomaneno,mtu akiunga mkono ni domo,mtu akitoka kwaya moja kwenda nyingine ni kelele tupu.
Muwe na akiba ya maneno,katika kutafuta upepo hauwi na ahadi ya kudumu kusukuma tanga,siku ukitaka kurudi utapata shida ya kutoa maelezo.
 
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.
 
Nielekeze na mimi nka chukue ya mkopo..kitaani wajue cash[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wabongo mna jua kuandika
You niggas better remember losers never love a winner, Bitches never love a loser, beggars never can be choosers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…