Harmonize nje ya WCB hamuwezi Marioo hata kidogo

Ingia you tube mahojiano ya harmonize na millard ayo,acha kupayuka hovyo kwa jambo usolijua
 
Lazima aonekane anajua si katoka Kwa fundi , alaf mond akawaambia clouds kuwa amewapa busta washindwe wenyewe busta ndo harmonize

Kawapa busta,kaachwa na busta.
 

Kama harmo alitisha shoro mwamba aliekimbiza mashabiki kulia n kushoto utasemaje?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Mkuu hapa tunaongelea Fact with evidence tunaposema mond alianza kuchana tunanyimbo zake za zamani kama Kisachi nk na unaposema harmo alianza imba kitambo akakutana na Mond Temeke tunaomba Fact na evidence za nyimbo ata moja tu ya kipindi yupo msanii mchanga ukiwa mnafiki au Muongo jua utasahau na unacho kiongea ni Chai na Chapati nenda Youtube fatilia interview ya harmo na millard ayo ndo utaelewa naongea nini uyu kijana nimemuona long time bado ata ajaanza rekodi nyimbo anaishi kwa Mond anafutafuta Tuzo za mond mara ana date na Huda yaani kama mond alikua anamtengenezea jamaa jina baadae ametoa nyimbo yake iyola na nyimbo nyingi Mond amefanya nae kumbost ili ajulikane na ndo msanii alietumia nguvu nyingi kumbost narudia kama hauna Fact na evidence nyamaza hapa sio ( kwenye thread yako ya kula Tunda kimasihara)


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye thread yako ya kula tunda kimasikhara[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ile ngoma ilikuwa kali sana ila ilikosa promo.mimi sio shabiki wa harmonize ila hii ngoma ya inabana ikapigwa club aise inamsha asmha balaa
 

Hiyo ngoma ipo na ni nzuri sana na mimi nilikuwa naisikiliza sana ila nilijua ya harmonixe baada ya kuwa sign wasafi na Diamondi Platnumz ndo alii,ungumxia hiyo ngoma na ni bonge la ngoma. Najaribu kuikumbuka nitaileta hapa
 
Unamaanisha colabo za wanaija maana hakuna wimbo wa Domo unaopigwa Naija bila ya colabo ya wanaija
 
Wacha uongo hujui historia yake.Fuatilia tena hata google hapo jf usome upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa hajui historia ya mmakonde.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa uzi una uelewa mdogo na mawazo finyu hauna mawazo mtambuka !!!!!!!![emoji41][emoji41]au unataka tu tucomments kwenye uzi wako .
Marioo ni mtoto mchanga yeye mwenyewe atamkubali harmonize kabla ya yeye!!!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume anaongea ukweli sio majungu .. mkuu huo niukweli mtupu tumchukie ila jamaa ndomda wake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusaga mjanja sana jamaa nimpiga hela mzuri sana kipindi ruge yupo hali kila kitu alikuwa anapiga yeye unyonyaji na ubaya wote alafu johoo la ubaya anamvisha ruge RIP ruge unapakwamatope kwakosa lamtu mwingine. Leo hii anasema wasafi hana share amemsaidia jamaa anajua kucheza na akili za watu ivi wamiliki siwaliwekwa waza .. diamond 45% kusanga na mke wake 53% .. eti amemsaidia cloud sio yakusanga ni ya family ya kusanga so yeye Joseph anajisafisha tu kwawatu eti hata yeye hajui kwanini cloud hawapigi nyimbo za wasafi .. msimamizi mkuu wa cloud hajui masihara haya jamaa yupo nyuma ya lawama zote alizo tupiwa ruge . Jamaa yupo nyuma ya diamond kwaasilimia 100 utake usitake kwanzia wasafi mpaka biashara za diamond. Chibu prefume ni yakwake ila jina alimuandika mke wake . Diamond karanga alinunua share kubwa kwenye kampuni ya smart so huyu jamaa kaona soko kubwa ni diamond ndomaana yupo nae hatua kwa hatua
Kusaga anasema saizi huyu harmonize anatoka huku anaenda kulipwa laki[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…