Harmonize: Safari yake kwenda International nje ya WCB inavyowatesa Wasafi

Harmonize: Safari yake kwenda International nje ya WCB inavyowatesa Wasafi

Tuwape mda gani sasa wakat huo mda pia unaifanya Wasafi kuzidi kuwa kongwe..... konde boy asipokaa vyema label ya Rayvanny itampiga fimbo, ngoja usajiri uanze
Ile ni branch ya wasafi
 
Hivi ndivyo diamond alipambana wakati clouds ilikuwa imekamata kila Kona. Mkumbuke miaka Ile watangazaji wa clouds walikuwa na nguvu kuliko wasanii but diamond alitoboa. Ndicho kinachomtokea harmonize. He is going to make it
Wewe acha kufananisha vitu vya kijinga na Diamond, mbingu na dunia
 
Nitumie post nione ,tokea Corona ianze au tokea azindue album yake hajawahi kupiga show nje ya Tz.
Kama ni tokea Corona ianze aliepiga show nje ni diamond ambaye lable yake Ina miaka kumi. Wakati kondegang Ina mwaka mmoja so tulieni dawa yenu iwaingie
 
Hivi uliwahi kujiuliza damage aliyoifanya rayvanny kupost anamla mate Paula someday anaona mamake anatrend na konde insta. Alitaka kutuma ujumbe upi kwa Kajala. Kwamba unaliwa na harmo mm nakula mwanao. You are one sided.....but ukweli usiopingika ni kuwa vannyboy alionyesha dharau kwa Kajala na harmonize Ile siku
Ha haa Sawa , ili kumvua nguo harmonize wakamtupia chambo 🤣 na yeye akakimeza ...anyway basi tuyaache
 
Kama ni tokea Corona ianze aliepiga show nje ni diamond ambaye lable yake Ina miaka kumi. Wakati kondegang Ina mwaka mmoja so tulieni dawa yenu iwaingie
Wasafi ina miaka mitano hiyo kumi ya kwako,msanii wa kwanza kutambulishwa ni Huyo Harmo 2015 mwezi wa 8.

Dawa iwaingie akina nani?Yaani Fred vunjabei anamwambia Bakheresa tulia dawa ikuingie.
 
Mbona nasikia konde gang ni kubwa kuliko wasafi, ina wasanii wengi zaidi mpaka international ?
 
Mbona nasikia konde gang ni kubwa kuliko wasafi, ina wasanii wengi zaidi mpaka international ?
Huo siyo ukweli. Kondegang haijawah kusema Hilo. Isipokuwa inafanya jitihada ya kuwa label kubwa bara la africa lakini wasafi inapambana kuwabana wasifanikiwe
 
Huo siyo ukweli. Kondegang haijawah kusema Hilo. Isipokuwa inafanya jitihada ya kuwa label kubwa bara la africa lakini wasafi inapambana kuwabana wasifanikiwe
Inawabana kivip? Hiyo ni inferiority complex kushindwa kwenu msiwasingizie wengine
 
Msanii mwenye mashabiki Tanzania ni Diamond tu. Wengine wote wanapewa airtime kutokana na upepo. ..ukiwa vizuri utashindanishwa na Diamond, ukizingua unatupwa anatafutwa mwengine wa kupambanishwa nae period.
 
Haipo siku Harmo atakuwa juu ya Diamond chini ya jua labda chibu awe hayupo duniani. Hao wote wanavuma sababu wanashindanishwa nae hivi hamjawahi kuwaza why not harmo na kiba? au jux ?.
Kila msanii anaekuja vizuri kipimo chake ni diamond bila kushindanishwa nae basi hujawa hata na dalili za kumfikia. Diamonds are forever, leo mwamba akisema naacha mziki hawa wengine wote chali tunaaanza upyaa ni kama ya kanumba na ray tu leo nani anamuongelea ray? hakuna.
 
aliepiga show nje ni diamond tu. acheni uhuni. Mkumbuke toka aanze project ikaanza Corona labda unaongelea show zipi coz hata wanigeria show zimepungua kisa Corona. Nyie wahuni mnatambua yupo anaijenga lable yake ... Mmekazana show wakati ndo Kwanza kaanza kuijenga lable. Matunda yanayooneka mpaka Sasa ni ubalozi wa crdb, sayona na sigara. Ambapo kapiga pesa ya maana. Mnataka ndani ya mwaka mmoja kondegang iwe imekamilisha kila kitu wakati wasafi ina miaka kumi.
Wasafi haina miaka kumi, Diamond ndie anamiaka kumi.
Miaka ya Harmonize kwenye game ndio miaka ya WCB kwenye game.
Na ukubwa wa kondegang unatokana na ukubwa wa harmonize aliotokana nao WCB
 
Back
Top Bottom