Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ila jamani watu inabidi kujipanga na maisha ya mbele. H-Baba kwa umri wake na anayoyafanya ni kama ana njaa imepitiliza na kama vile akili yake haiko sawa.Tunaweza kusema hawa mabwana wanatafuta pesa,ila ukweli ni kwamba Harmo anatakiwa awe makini sana na wanaojiita machawa wake huenda ndio wana "msnitch"
View attachment 2243835View attachment 2243838
NB: "Ukiwa fukara kamwe huwezi kuwa kiburi,maskini jeuri ni msemo tu usiuweke kwenye akili" - Mwana FA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kigoma zamani tulikuwa tunajua wanatoka mastaa wa soka,saizi wanakuja watu ambao wanatamani hadi kuzaa.......
hbaba ana njaa wakati ana drive prado? Je wenzangu na mie pangu pakavu hatuna ata baskeli utasemaje?Ila jamani watu inabidi kujipanga na maisha ya mbele. Hbaba kwa umri wake na anayoyafanya ni kama ana njaa imepitiliza na kama vile akili yake haiko sawa. Mwijaku huyo walau namwelewa maana uchawa wake at least anaweza mpgia simu hata RC akapokea fasta na akajua kapigiwa na mwijaku na pia anakula videal kama wasafi bet, baba levo huyo nishamkubali jinsi alivyo.
Ila watu kama hbaba hata diamond awe nao makn maana alianza kumtafuta toka kitambo toka enzi za my number 1 anamsnitch
Kila mtu ana njaa kwa namna yake, unaweza kumwona ana prado lakini still ana njaa zake anatamani awe level flan.hbaba ana njaa wakati ana drive prado? Je wenzangu na mie pangu pakavu hatuna ata baskeli utasemaje?
Shoga wakoje?Kuna tofauti ndogo sana kati ya chawa na shoga
Machawa ktk ubora wao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila walivyo hata hawafanani kabisaa
Kwamba wana vitambiMachawa ktk ubora wao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila walivyo hata hawafanani kabisaa
Kama mwinjakushoga wakoje?
Kama mwinjaku
Kwanini unawaza hivyo au ndio mambo unayoyapenda kufanya?Hivi mond akiomba kuwapakua wanaweza kukataa kweli hao