mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mwanaume kamili huwezi kuwa chawa kwa mwanaume mwenzako kiasi hicho,hizo ni tabia za ushogashoga wakoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kamili huwezi kuwa chawa kwa mwanaume mwenzako kiasi hicho,hizo ni tabia za ushogashoga wakoje?
Tukianza na zito kabwe chawa wa JanuariKigoma kunatoa machawa promax.
Khaaaah, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna tofauti ndogo sana kati ya chawa na shoga
Awapakue mara ngapi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mond akiomba kuwapakua wanaweza kukataa kweli hao
Mionekano yao tyuuh.Kwamba wana vitambi
Tena haswaaah.Wake zao Wana mitihani
Km kibajaj ,msukuma ,japepole ni wabunge why not kwa mwijaku mwenye degree Tena degree ya udsm?Nchi ilivyo usishangae Mwijaku anakula ubunge pale Kazulamimba kigoma Tena bila kupingwa 2025