Harmonize Vs Diamond

Harmonize Vs Diamond

umetumia vigezo gan hadi useme mond kafunikwa??ebu mwambie huyo harmo atoke wcb tuone kama ni kwel mkal
 
Una matatizo bora hata raymond kuliko yule boya
Wcb skendo 100% kuimba 0 kiki 100% rayvanyy anajua kuliko msanii yeyote wcb nyi endeleeni na kiki insta kama kawaida yenu
 
Hawa ni wale wasiokuwa na kazi za kufanya wanaoshinda mitandaoni kuanzisha mateam ya majungu. Huwa wanaanza hivi hivi kutengeneza choko choko, kesho na keshokutwa unasikia team harmonize na timu diamond. Kuna haja haya mavifurushi ya chuo kufungiwa maana ndio yanayoleta adha yote hii.
Hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Una matatizo bora hata raymond kuliko yule boya
Wcb skendo 100% kuimba 0 kiki 100% rayvanyy anajua kuliko msanii yeyote wcb nyi endeleeni na kiki insta kama kawaida yenu
Sure mkuu Raymond yuko vizur halaf hapend kiki
 
we kaka sio mzima
harmonize ana uandishi gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hivi unajua kua uandishi ndo unambeba sana chibu[emoji23]
anaandika vitu ambavyo watu wanavipenda ndo mana anasanua

angekua anaandika kama story asingetoka ..
 
Homornize bado sana ww,piga ngoma ile ntalejea linganisha na matatizo uone pumba ulizoandika hapa na hiyo ni ya dhamani huko sasa, bado utanipenda ww,kitu kingne kamwambie hahaha aise watu wengne bana sijuw waga mnakula maharage ndo unaingia jf? Duuu!! unalazimisha kifalanga kutaga yai uwiiiiii.
 
Naogopa na ninaona kabisa tukichukua 3 latest release za diamond na harmonize, harmonize amemfunika diamond katika uandishi na mashairi.

Tukichukulia mfano wimbo wa diamond na papa wemba, na wimbo wa harmonize matatizo. Unaona kabisa dai kafunikwa.

namshauri harmonize atoke WCB akajitegemee mana ni mkali kuzidi diamond.
Ila ni kawaida mwanafunzi huwa anakuwa mzuri kuliko mwalimu
Kwa taarifa yako ni kwamba hiyo nyimbo matatizo unaisikiliza kwakua huyo dogo yupo na diamond. Kama asingekuwa WCB angeishia kuzunga nayo mikononi
 
Kwa taarifa yako ni kwamba hiyo nyimbo matatizo unaisikiliza kwakua huyo dogo yupo na diamond. Kama asingekuwa WCB angeishia kuzunga nayo mikononi
Umeongea point mkuu kuna madogo wanajua sana sema hawana kiki
 
hapendi?
kwani harmonize alianzaje[emoji23][emoji23]
Huyo ni harmonize hapa tunamsema Raymond ni watu wawili tofauti , harmonis anapenda sifa ndo maana c unajua watu wa nanjilinji[emoji12] [emoji12]
 
Homornize bado sana ww,piga ngoma ile ntalejea linganisha na matatizo uone pumba ulizoandika hapa na hiyo ni ya dhamani huko sasa, bado utanipenda ww,kitu kingne kamwambie hahaha aise watu wengne bana sijuw waga mnakula maharage ndo unaingia jf? Duuu!! unalazimisha kifalanga kutaga yai uwiiiiii.
Nyimbo za diamond ambazo ikipigwa kidogo zinanikosha , kamwambie, mbagara, nitarejea basi kwisha habar yake
 
Back
Top Bottom